Au sababu ya ugeni

Shariti ili upate wa kukupa ua lazima uwe PM addicted.
 
^^
Usiwe na haraka @a.rahab utampata hivi karibuni ukitaka kuthibitisha hili, nenda jukwaa la chit chat mada ya 'naomba ua jamani' utapata mengi na PM juu
^^


mbona mi hujanipa ua.?? lol!
 
Hahahaha ATM n mitego hio

Sema bi mkubwa, iweje uwe mtego wakati nakupa hadi password inakuwa ya kwako yote yote.

Nikikupa maua yatanyauka banaa, bora uchawi wa kizungu "money".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…