Sawa tu heri kuwa mbwa wa mzungu utapangiwa bajeti yako kuliko kuwa mbwa wa mwafrika na kuachwa ukijitafutia chakula majalalani.
Ouch!, Mnajua mashujaa wetu waliopigana kufa na kupona kumtoa mwafrika na mtu mweusi utumwani na pia kuikomboa Afrika kama akina Mkwawa, Kinjeketile, Milambo, Kambarage, Karume, Lumumba, Nkrumah, Malcom X, Martin Luther King, Steve Biko na wengineo wakisikia maneno kama haya huko huko makaburini miili yao itakuwa inatetemeka kwa hasira!