Au mimi ndio jini mwenyewe?

Heci

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2016
Posts
3,685
Reaction score
6,410
Chumba cha pili wameita mganga, wanadai wanalogwa ili pesa isikae, nyumba nzima inanuka ubani, inadaiwa ubani huo utafukuza jini lenye kunyonya hiyo pesa, sasa hivi ubani umezidi nashindwa kupumua lazima nikimbilie nje nikapate hewa safi, au mimi ndio jini mwenyewe?
 
 
Nusu jini, nusu binadamu.

Hatari sana, utupe mrejesho hilo jini litapokimbia.

Na Pesa zao zikiongezeka utujulishe pia.
 
hata mimi siwezi kuvumilia harufu ya ubani,nahisi namimi ntakua jini
 
nimecheka sana hahahahahah!!! we jamaa ni bwege sana
 
Jini anaangalia kushoto na kulia ndo anavuka barabara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…