HAFIF,hivi hizo ni akili zako au........mbona unaingilia maisha ya watu,wakati anaiba mumewe alikuwa wapi?JK kaiba wake za watu wangapi na kuwapa ukuu wa wilaya.AU humsemi kwa sababu dini moja?acha ujinga unadhalilisha elimu yako na dini yako!Vipi kale kagonjwa cha Dr Padre Slaa cha kuiba wake za watu si babu vile vle anakatibu.