mdetichia
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 5,292
- 2,172
Natoaa wito kwa Wanazuoni, Wasomi na Wanaharakati ndani na nje ya Tanzania kwa kutambua mchango wa Mwl, hakika anastahili Ph.D ya heshima.
Kabisa kabisaaa kweli tupu
Hizi phd za kibinadamu ni za kinafiki sana tunashuhudia hata mafisadi wakipewa p.h.d za bure tu Mwl Mwakasege MUNGU alishamtunuku iliyotukuka toka angali mdogo na ndio maana yupo hapo alipo kwa msaada wa MUNGU.