Ally Kombo chezea wengine sio Mwakasege nakupa tahadhari la sivyo muda kama huu mwakani utakuwa mchungaji.Waulize waliomletea vurugu Mwanza mashekhe na waganga sasa hivi ni wachungaji.Wewe kama unataka kuendelea na ushekhe achana na mtumishi wa Mungu.
umeshaenda kanisani?
Hana tofauti na Mastahi yule anaye piga watu vibao na vifutiAlly Kombo chezea wengine sio Mwakasege nakupa tahadhari la sivyo muda kama huu mwakani utakuwa mchungaji.Waulize waliomletea vurugu Mwanza mashekhe na waganga sasa hivi ni wachungaji.Wewe kama unataka kuendelea na ushekhe achana na mtumishi wa Mungu.
Dr. christopher Mwakasege, docta ya heshima haijaanza tanzania,hata obama anazo za kutosha,kina mugabe,zuma,bill gates,na wengi wanazo,dr moses kulola. kwahiyo vyuo husika vikichunguza na kuona mchango wake waweza mpa.tunaomba waangalie mchango wake kwa umakini.ni heshima pia. huyu mwalimu mwakasege anakiawa pekee ,na mafundisho yake anaongozwa na nguvu ya mungu. yupo nafasi ya juu zaidi ya wengi wao wanaojiita manabi sikuhizi, maana hawana la ziada la kuonesha kama ni nabii.Natoaa wito kwa Wanazuoni, Wasomi na Wanaharakati ndani na nje ya Tanzania kwa kutambua mchango wa Mwl, hakika anastahili Ph.D ya heshima.
Msipende vya kupewapewa kama anataka phd aingie class apige kitabu, izo degree za kupewa sio nzuri wala hazibadilishi heshima ya mtu. Angalia kina Kikwete wamepewa ngapi na bado anaonekana wa kawaida tu na baadhi ya watu wakigoma kumwita profesa. Yesu alifundisha sana lakini hakuomba degree na bado heshima yake ni kubwa, Mwl. Nyerere hadi anaongoza taifa hili kwa uadilifu mkubwa hadi leo anaheshimika na kila mtu bado aliitwa Mwalimu. Mi nadhani Mchungaji Mwakasege inafaa sana kuliko Profesa Mwakasege unless atakaposoma na kuwa prof. ndipo title yake itabadilika coz tutakuwa hatuna jinsi kama tuwaitavyo kina Prof. Lipumba, Prof. Mwandosya na ni maprofesa kweli
I'm sure hatakubali coz anajitambua yeye ni nani mbele za Mungu!
Umenena vema, katika watu wanajitambua mwl Mwakasege najitambua, heshima kwake kwa kweli.