Je amewahi kumwona shetani? maana kitabu ninacho fahamu mimi Biblia takatifu,ina muelezea vizuri shetani alivyo kabla kuasi(hajawa shetani) ameanza kuitwa shetani baada ya kuasi.shetani ni kiumbe cha mwenyezi Mungu na alikuwa karibu sana na Mungu mwenyewe na alipewa mamlaka kubwa kabisa aliopewa na Mungu viumbe vingine vyote vilikuwa vinamueshimu sana na alikuwa ni kiumbe mzuri sana kitabu kinavyosema,na si vinginevyo naona jamaa yetu anajifurahisha tu,hayo mapesa mara mia angefanyia mambo mengine ya muhimu.