BECHO
Member
- Sep 27, 2010
- 31
- 47
tumefanywa madaraja ya watu kupandia harafu tunajinyima wenyewe hadi uwezo wa kuhoji tunabaki kushangilia hadi ujinga ili mradi aliyefanya ni wa chama changu..tunatumika kabsa,,alafu ni kote, ccm wanawatumia watu, chadema nao vilevile