vizuri, so utapotaka kujua kitu chochote wakati wowote, tupate kwenye hizo twitter account mbili, remember hashtag #UmojaSwitch au kwenye facebook page, sasa hivi huduma kwa wateja ziko kwa kila benki, wakati tunaanza mwaka 2007 tulikua benki 6 sasa hivi benki ziko 23, sasa tunalazimika kufikiri tofauti, ndio maana tunafunguka zaidi hata kwenye mitandao ya kijamii na pia Plans are underway to have centralized call centre.