Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 37,959
Hakuna kitu inaniboa KUHUSU UMOJA SWITCH kama hii sms "YOUR FINANCIAL INSTITUTION IS NOT AVAILABLE"
Mkuu asante kwa msaada wako kweli sikumbuki tarehe lakini ilikuwa mwezi wa kumi mwaka jana next tym nikipata tatizo nitakushitua halafu kila kitu nilibadilisha ATM card pia nili renew kwa hiyo nahisi hata namba za kadi zilibadilishwa na mbaya zaidi tarehe niliuofanya yransactipn siikumbuki tena
Uswe, hakuna mpango ya online banking?
ATM za Mabenki mengine yote ktk umoja Swtch ni nzuri but ATM zilizo ktk umiliki wa Bank ya Posta ni za ovyo na Mbovu na Muda mwingi hazifanyikazi, Pili Kadi ikitumbukia kwenye Mashine isiyo ya benki yako inachukua Wiki zaidi ya 5, why? Mwisho ATM za Akiba Na BOA zinakata fedha kwenye ac lakini hela haitoki kwenye mashine na wanachelewa kuirejesha kwenye ac,
vizuri, so utapotaka kujua kitu chochote wakati wowote, tupate kwenye hizo twitter account mbili, remember hashtag #UmojaSwitch au kwenye facebook page, sasa hivi huduma kwa wateja ziko kwa kila benki, wakati tunaanza mwaka 2007 tulikua benki 6 sasa hivi benki ziko 23, sasa tunalazimika kufikiri tofauti, ndio maana tunafunguka zaidi hata kwenye mitandao ya kijamii na pia Plans are underway to have centralized call centre.
Kama hutajali naomba uzitaje.