ATM inafanya vipi kazi?

ATM inafanya vipi kazi?

God'sBeliever

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2015
Posts
5,788
Reaction score
3,068
Naombeni msaada namna inavyofanya kazi Tanzania nzima.
Na je kita ATM ina mechanism yake au zote zinatumia software moja?
Wale hacker hawawez choropokoa wakaiba pesa?
 
-hacker ndio wanaiba
-atm ni standard, kuna umoja wa atm ndio maana zinafanana kila bank
-zinatumia internet/intranet angalia juu ya atm kuna dish la internet
 
Mkuu swali lako lipo pana sana

Ila kama unataka kujua kuhusu mawasiliano ni kwamba ATM zinatumia internet ili kuwasiliana na makao makuu zipohifadhiwa data za kila acc ya mteja
Na ndio maana kukiwa na matatizo ya connection basi ATM haifanyi kazi

Kutokana na teknolojia kukua kila uchwao imekuwa ni vigumu sana kuhack na kuiba, kinachofanyika sana ni kufunga chombo kisiri katika ATM ili ikiingiza kadi yako chombo hicho kinakopi data za pamoja na password utakayoingiza kisha wanakwenda kudublicate kadi yako then wanavuta mkwanja wako
Hata hivyo njia hiyo imebanwa sana kwa sasa
 
Back
Top Bottom