atimaye imetimia

atimaye imetimia

Lwakitwe

Senior Member
Joined
Aug 14, 2013
Posts
101
Reaction score
15
baada ya wabunge kuendelea kupingana wao kwa wao wananchi walio wengi wamekimbia na kuacha kufuatilia mijadala inayoendelea kupitia luninga zao.
Asilimia kubwa ya watanzania wameacha kufuatilia bunge kupitia luninga je kwa hali hii tunaenda wapi watanzania wenzangu ?
 
najua mawazo yenu yana ukomavu kama wewe ni mtu wa matusi kejeli na vijembe bora upite tu bila comment shukrani
 
Mi kwanza naona kama kiin macho hakuna cha katiba mpya wala nini.kazi wapewe waingereza watengeneze nyingine.
 
hapo ndo umegusa penyewe kwa sababu watanzania tulio wengi mawazo yenu ni tegemezi na hawa wenye akili zao wazungu watazidi kututawala kifikra na kiakili tujikwamue watanzania
 
Hamna lotote nyie ukwata cjui ukawa..mnatafuta public sympath.nyie si mmekimbia tulieni basi..hata hao waliobaki tumewatuma kutengeneza katiba..msijifanye nyie ni bora kuliko wao.
Mnalilia serikali 3 si bora mngesema muungano uvunjwe nadhani mngeonekana wa mana..
 
majanga tu huko bungeni comedy tu ila naomba matusi tuyaache tushindane kwa hoja asanteni
 
hamna lotote nyie ukwata cjui ukawa..mnatafuta public sympath.nyie si mmekimbia tulieni basi..hata hao waliobaki tumewatuma kutengeneza katiba..msijifanye nyie ni bora kuliko wao.
Mnalilia serikali 3 si bora mngesema muungano uvunjwe nadhani mngeonekana wa mana..

we ni m.k.e m.dogo wa mapepo
 
we ni m.k.e m.dogo wa mapepo

We endelea kupiga porojo hapa..wakati huna hata senti ya kumnunulia mtoto wako biscuit..huku wenzio wakipiga porojo kama zako wakilipwa...hii ni Tànzania zaid ya uijuavyo
 
We endelea kupiga porojo hapa..wakati huna hata senti ya kumnunulia mtoto wako biscuit..huku wenzio wakipiga porojo kama zako wakilipwa...hii ni Tànzania zaid ya uijuavyo

Hizi ndio akili za Mi-CCM, badala ya kuja na hoja za msingi unaleta kejeli na matusi.
 
Hamna lotote nyie ukwata cjui ukawa..mnatafuta public sympath.nyie si mmekimbia tulieni basi..hata hao waliobaki tumewatuma kutengeneza katiba..msijifanye nyie ni bora kuliko wao.
Mnalilia serikali 3 si bora mngesema muungano uvunjwe nadhani mngeonekana wa mana..

mbona ma CCM nayo yanang'ang'ania serikali 2 ina maana hawataki muungano uvunjike nao hawana maana!
 
mbona ma CCM nayo yanang'ang'ania serikali 2 ina maana hawataki muungano uvunjike nao hawana maana!

Ngoja ...ngoma unaichezea mbali sana ebu jaribu kusogea mana unacheza out of beats..nadhan umenielewa
 
mipasho tu kwann wasitoke! rasimu ndo ili ratibu mipasho? mbona ccm hamsomi nyakati za arama
 
Back
Top Bottom