Atheists at Christmas

Kufuatana na Sayansi, hawa watu walio fariki/kufa kama c darwin wanaishia/wapo wapi? Au ndio umewafananisha na magari mazee? Naona evolution imegoma kufanya kazi. Where are these dead people? Hebu tumia sayansi kujibu hili swali.

Narudia tena.

Atheists hawaamini uzima wa milele.
Tunajua kwamba kila kitu kina mwanzo na mwisho.

Ni nyie watu wa deen mnaoamini uzima wa milele, Ironicly Yuko wapi Moses/Moshee/ Musa kama kuna uzima wa milele.

Yeye sindio mnasema alipewa amri kumi na huyo Popobawa wenu, Kwanini asiishi milele akazilinda amri alizopewa na bwana wake?
Jij bent nog een kind!!!
 
Darwin,

Achana nao hao, you are some 500 years ahead of their time.
 
Narudia tena.

Atheists hawaamini uzima wa milele.
Tunajua kwamba kila kitu kina mwanzo na mwisho.

Ni nyie watu wa deen mnaoamini uzima wa milele, Ironicly Yuko wapi Moses/Moshee/ Musa kama kuna uzima wa milele.

Yeye sindio mnasema alipewa amri kumi na huyo Popobawa wenu, Kwanini asiishi milele akazilinda amri alizopewa na bwana wake?
Jij bent nog een kind!!!

Sasa naami ni kweli ulifanywa vibaya na mapopobawa wa kipemba. Astakafulahi.

Maswali mengine anayoyakimbai darwin mjuwaji:

Kufuatana na Sayansi, hawa watu walio fariki/kufa kama c darwin wanaishia/wapo wapi? Au ndio umewafananisha na magari mazee? Naona evolution imegoma kufanya kazi. Where are these dead people? Hebu tumia sayansi kujibu hili swali.

Hivi unajuwa ni kwanini darwin alimuita Lady Hope kabla ya kifo kumchukuwa?
 
Can't you think better than that?!!! Kumbe ninyi mpo only 500 years behind!

Actually at least 500 years.

Hivi ushasoma Old Testament wewe?

Hivi a modern thinking man anaweza kuamini upuuzi kama huo?
 
Narudia tena.

Atheists hawaamini uzima wa milele.
Tunajua kwamba kila kitu kina mwanzo na mwisho.

Ni nyie watu wa deen mnaoamini uzima wa milele, Ironicly Yuko wapi Moses/Moshee/ Musa kama kuna uzima wa milele.

Yeye sindio mnasema alipewa amri kumi na huyo Popobawa wenu, Kwanini asiishi milele akazilinda amri alizopewa na bwana wake?
Jij bent nog een kind!!!

Sasa naamini athiest na ninyi mnamadhehebu yenu, wanao amini na wasio amini uzima wa milele.
Kwani wale jamaa wanosema kuwa mtu akifa the only thing which dies is the physical being but the other being is converted into pure energy(uzima wa milele) because every thing is energy si ndio ninyi? au hilo si dhehebu lenu nini?
Kama ndio hilo hilo basi jamaa yako(Bluray) kaona unaharibu ikabidi akuondoe kiana kwa kuua soo.

Na hapo ndipo utakapoona kwamba watu wanatumia concept za Bible kulezea sayansi halafu badae wanaitukana bible.
 
Actually at least 500 years.

Hivi ushasoma Old Testament wewe?

Hivi a modern thinking man anaweza kuamini upuuzi kama huo?

Darwin,


Achana nao hao, you are some 500 years ahead of their time.

Kaazi kweli kweli,

Kwanza: Umesha amend usemi wako wa post yako ya kwanza isemayo " 500 years ahead of their time" na kwa kusema Actually at least 500 years.

Pili: Umeshindwa kuachana na hoa walio miaka 500 mbele yenu.

Tatu: Unaanza kutumia nukuu za kitabu ambacho unakiita ni cha kipuuzi.

Hivi huwa hamna references za kutumia mpaka mtumie vitabu vyetu?
 
Sasa naamini athiest na ninyi mnamadhehebu yenu, wanao amini na wasio amini uzima wa milele.
Kwani wale jamaa wanosema kuwa mtu akifa the only thing which dies is the physical being but the other being is converted into pure energy(uzima wa milele) because every thing is energy si ndio ninyi? au hilo si dhehebu lenu nini?
Kama ndio hilo hilo basi jamaa yako(Bluray) kaona unaharibu ikabidi akuondoe kiana kwa kuua soo.

Na hapo ndipo utakapoona kwamba watu wanatumia concept za Bible kulezea sayansi halafu badae wanaitukana bible.


Hhaha ahaha ahaha ahahaa, mkuu TIGER, nimekuvulia kofia. Umewashika pabaya sana hawa.
 
wewe umeshow nini?

Huu ni MSIBA KWENU. NYIE MNATUMIA Fedha zimeandikwa "IN GOD WE TRUST" halafu unasema eti Huamini Mungu. Kwanini Mnatumia hii currency?

Unapo itumia hii pesa, ina maana teyari unakubali kuwa "IN GOD WE TRUST".

dollar-bill.12860305_std.jpg
 

Hakuna kipya hapa!,Nitaujibu huu uzi kwa kifupi ka ifuatavyo.
1.Kwanza kuwepo kwa neno"IN GOD WE TRUST",katika noti ya marekani halisababishi mimi(Atheist )nisiitumie.Kwanza lazima ujue Atheism sio DINI,ukishajua hivyo hutauliz aswali kama hilo.

Hapa namaanisha kwamba mfano,mwislam niarufuku kwenda kanisani na kusali ama mkrito kwenda mskitin kusali.Sisi hatuko hivyo .Atheism IS THE COMMON SENSE.

2.Kutumika kwa bandiko lile halituondolei chohote maana sisi sio dini na hatuko kurumbana ama kugombea kitu(afuasi wala maslahi,We are the best thinkers).Na ndio maana 96% ya kila kitu duniani tunaendesha sisi(scientists ).

3.Ukitaka tusitumie dola ya marekani eti kwa sababj ina neno,"IN GOD WE TRUST",Basi mwambie Papa(baba yenu mtakatifu) atoe zile mike zote pale Vatican,na pia atumie majani ya migomba kuhifadhi Documents zake badala ya Laptops ambayo ni kazi ya scientists mnaowapinga.Kisha mwambie akitaka kwenda kwao Argentina ama popote katika safari ya kikazi asitumie ndege bali aende kwa miguu ama ngamia au mwanapunda.

Pia mwambie shekhe mkuu wa pale mecca ama medina,awe anatumia ngamia kwenda misri sio ndege!.
Mbona mnataka kukata tawi mlilokalia? Nyie wazima kweli?

Kuna siku niliwauliza swali kwba mnbie matatizoatatu ambayo dini imeyatatua mapaka sasa hakuna aliyenijibu zaidi ya blah blah!!,
 
Last edited by a moderator:
Hakuna kipya hapa!,Nitaujibu huu uzi kwa kifupi ka ifuatavyo.
1.Kwanza kuwepo kwa neno"IN GOD WE TRUST",katika noti ya marekani halisababishi mimi(Atheist )nisiitumie.Kwanza lazima ujue Atheism sio DINI,ukishajua hivyo hutauliz aswali kama hilo.

Hapa namaanisha kwamba mfano,mwislam niarufuku kwenda kanisani na kusali ama mkrito kwenda mskitin kusali.Sisi hatuko hivyo .Atheism IS THE COMMON SENSE.

2.Kutumika kwa bandiko lile halituondolei chohote maana sisi sio dini na hatuko kurumbana ama kugombea kitu(afuasi wala maslahi,We are the best thinkers).Na ndio maana 96% ya kila kitu duniani tunaendesha sisi(scientists ).

3.Ukitaka tusitumie dola ya marekani eti kwa sababj ina neno,"IN GOD WE TRUST",Basi mwambie Papa(baba yenu mtakatifu) atoe zile mike zote pale Vatican,na pia atumie majani ya migomba kuhifadhi Documents zake badala ya Laptops ambayo ni kazi ya scientists mnaowapinga.Kisha mwambie akitaka kwenda kwao Argentina ama popote katika safari ya kikazi asitumie ndege bali aende kwa miguu ama ngamia au mwanapunda.

Pia mwambie shekhe mkuu wa pale mecca ama medina,awe anatumia ngamia kwenda misri sio ndege!.
Mbona mnataka kukata tawi mlilokalia? Nyie wazima kweli?

Kuna siku niliwauliza swali kwba mnbie matatizoatatu ambayo dini imeyatatua mapaka sasa hakuna aliyenijibu zaidi ya blah blah!!,
 
Hakuna kipya hapa!,Nitaujibu huu uzi kwa kifupi ka ifuatavyo.
1.Kwanza kuwepo kwa neno"IN GOD WE TRUST",katika noti ya marekani halisababishi mimi(Atheist )nisiitumie.Kwanza lazima ujue Atheism sio DINI,ukishajua hivyo hutauliz aswali kama hilo.
Kuitumia kwako ni kukiri kuwa unakubali kuwa IN GOD WE TRUST na hauna jinsia bali kuendelea kukubali kufuata MFUMO KRISTO. Kwa taarifa yako vilevile UKRISTO SIO DINI. Sasa niulize Ukristo ni nini? Maaa wewe umejaa assumptions na huwezi kuzisaida kwa verifiables facts.


Hapa namaanisha kwamba mfano,mwislam niarufuku kwenda kanisani na kusali ama mkrito kwenda mskitin kusali.Sisi hatuko hivyo .Atheism IS THE COMMON SENSE.
Pole sana kwa kuendelea kujidanganya. Nyie mnaenda kanisani kama sie, labda wewe ni mpagani wa ki non theist. Hili hapa ni kanisa lenu. Sina haja ya kuandikaia mate wakati wino upo.


2.Kutumika kwa bandiko lile halituondolei chohote maana sisi sio dini na hatuko kurumbana ama kugombea kitu(afuasi wala maslahi,We are the best thinkers).Na ndio maana 96% ya kila kitu duniani tunaendesha sisi(scientists ).
You are not the best thinkers but sinkers. A thinker is a person who can support her/his belief. You can not support either the negative god or the fallacy that God does not exist. You are a BLIND FOLLOWER of a CULT that can not support her belief.


3.Ukitaka tusitumie dola ya marekani eti kwa sababj ina neno,"IN GOD WE TRUST",Basi mwambie Papa(baba yenu mtakatifu) atoe zile mike zote pale Vatican,na pia atumie majani ya migomba kuhifadhi Documents zake badala ya Laptops ambayo ni kazi ya scientists mnaowapinga.Kisha mwambie akitaka kwenda kwao Argentina ama popote katika safari ya kikazi asitumie ndege bali aende kwa miguu ama ngamia au mwanapunda.
Sio, usitake kutumia USD, nyie hamna chenu hapa duniani. Nyie mnatendelea kuwa TEGEMEZI katika kila jambo. Hata jina lenu ni TEGEMEZI kutoka kwetu, ZAIDI YA HAPO, Hamna ubavu wa kuanzisha fedha zenu.


Pia mwambie shekhe mkuu wa pale mecca ama medina,awe anatumia ngamia kwenda misri sio ndege!.
Mbona mnataka kukata tawi mlilokalia? Nyie wazima kweli?
Kwa taarifa yako, sio scientists wote ni WAPINGA MUNGU na GOD HATERS kama wewe. Ndio maana bado hujajibu swali. KWANINI MNATUMIA HELA ZETU ZILIZO ANDIKWA "IN GOD WE TRUST"? Why are you using our monies?

PATA List fupi kwa msaada: Famous Scientists Who Believed in God


Kuna siku niliwauliza swali kwba mnbie matatizoatatu ambayo dini imeyatatua mapaka sasa hakuna aliyenijibu zaidi ya blah blah!!,
Tatizo la kwanza ni MONEY. The money you are chasing everyday is from us. NDIO MAANA HAKUNA ATHEIST TAJIRI HAPA DUNIANI. Jiulize, kwanini nyie ni MASKINI TU?

Pole sana kwa kuwa BLIND FOLLOWER of a diabolical cult that can not support her BELIEF. Do you believe that God does not exist and you can support your BELIEF or you are SURE THERE IS NO GOD and you can give us impeccable evidence of your fiendish belief?

KWA TAARIFA YAKO:
Albert Einstein BELIEVED IN GOD
 
Last edited by a moderator:
.Kwanza lazima ujue Atheism sio DINI,ukishajua hivyo hutauliz aswali kama hilo.
Let me teach and give you some food for thought.

1. Religion and or cult is a philosophy of life. So is non theism.

2. Religion and or cult is a means of understanding our existence. Non theism fits that bill.

3. Religions and or cults has its leaders, the preachers of its tenets. So does non theist (Nietzsche, Feuerbach, Lenin, Marx).

4. Religion and or cult has its faithful believers, who guard the orthodoxy of the faith. So does non theism.

You are a believer and part of a cult that can not support her notions of negative god, to wit.

NON THEISM is a DIABOLICAL RELIGION.

 
Umeelewa nini niliposema Atheism sio dini?.Sisi hatuna haja ya kurumbana kwa vitu visivyo na maana.Je wakristu wote hawatumii bidhaa za Saudia ama dubai kwa sabau hawamtambui mtume Mohammad ?.Mbona palestina ni wateja wakubwa wa bidhaa toka Israel japo haziivi?.We use the common sense and struggling to make the earth a better placce to live!,You with your god have nothing to do with this Universal !okay!?



Watakupiga mawe shaur yako!,Mpaka uulizwe?Hujiongezi hilo ndo tatizo lenu.



Unajua maana ya dini?,Unajua maana ya kanisa ?




We are the best thinker !.Did the Mike used in Vatican come from Heaven?,Y do Pop's documents stored in Laptops instead of leaves and flat stones ?.Did Jesus say so?.Or did Laptops come from Heaven?




Did you ever supported your Arguments that God exists with even one evidence for his existence ?




Are you sure?Prove!



Atheism na Theism nani tegemezi.Dini imewahi kugundua nini cha maana?.Okay basi hata kisicho cha maana?



Hata tukianzisha fedha haitasaidia kama watu kama nyie (wenye uoga wa kuhoji na wasio jitambua)mtaendelea kuwepo!.





Mi sijasema scientists wote ni Atheist!,Na sio lazima wote wawe Atheist.



Swali lako litakuwa na maana iwapo Papa atasafiri kwa mwanakondoo kwenda kwao Argentina!,ama aandike mahubil yake kwenye majani ya migomba.Na pale mecca watumie vijinga vya moto kumulikia wakati wa swala!,na shekhe apande ngamia kwenda jordani.



Ninayo tangu mwaka jana lakini asante.



Sio kwel,Unatakiwa ujue hakuna tajiri anayeamini katika Mungu na kufuata yale asemayo,kama yupo ni mnafiki.Na hakuna Atheist maskini ila kuna Believers mabilini ambao ni maskini.




Prove that god exists



Sio kosa aliplay part yake na sio lazima tumfuate.Kwani padri akibaka na wewe utabaka?.Si mnaambiwaga mfuate mafundisho yao sio matendo yao!?.
 
Back
Top Bottom