Atheist wengi hawajui wanachokitafuta

Hehehe, em soma ulichoandika mara mbili mbili kama hata we mwenyewe unaweza kukielewa.
Seems to me ambaye hajui anachokitafuta wa kwanza ni wewe, washika dini tunajua wanachokitafuta, hawatokipata lakini sababu hakipo, sio wa kwanza kufa, mtakufa mungu hajarudi, watoto wenu na wajukuu watakufa hajarudi, miaka elfu ijayo watakuwepo wengine watakufa hajarudi tu. Endeleeni kumsubiri. Hamuelewi atheists msijifanye mnawaelewa, atheists wengi walianzia kwenye dini wakakua wakaona ni upuuzi wakatupa pembeni, wanajua dini ilivyo, nyie msiojua u-atheist ulivyo coz hamjawahi kua msijifanye mnajua zaidi.
 
mfano hapa.mimi si kiranga ila umenijibu kwa sababu nimeuliza swali.lakini jibu hili si sahihi.

maana si wewe au mkristo anayejua ni kwanini Mungi hajawahi kuonekana kwa macho.
 
Unajichosha kuswali ili iweje kumbe majibu Mungu wako anayo ?kumbe Mungu wako ndio anaamua wa motoni au wa peponi wala sio matendo yako
Mimi naomba kitu kimoja kwako, nacho ni kwamba na wewe uwe unajibu maswali kama vile nlivokuwa nayajibu yako. kama huwezi kujibu useme kabisa. Mana nishawazoea. Mkiulizwa mnakimbia.

Mungu anajua mwisho wangu ni upi na wapi, lakini mimi mwanadamu alieniumba sijui mwisho wangu ni wapi, sasa kama sijui mwisho wangu ni upi, nikisali iweje useme najichosha na wakati mimi sijui? Naomba jibu.
 
Unajichosha ndio unamswalia Mungu ambaye anajua wazi kuwa wewe mswaliji ni wa motoni , huku ni kupoteza muda
 
mfano hapa.mimi si kiranga ila umenijibu kwa sababu nimeuliza swali.lakini jibu hili si sahihi.

maana si wewe au mkristo anayejua ni kwanini Mungi hajawahi kuonekana kwa macho.
Wewe kama ntakuwa sijakosea, utakuwa ni mkiristo. Sijakujibu kwa sababu umeuliza swali, nimekujibu kisahih kabisa.

Sasa ngoja nikwambie kwanini Mungu hajajificha na ni kwamba hatuna uwezo wa kumuona;

Quran 6:103 Allaha anatwambia ivi : 103. "Macho hayamfikilii bali Yeye anayafikilia macho. Naye ni Mjuzi, Mwenye khabari " na ndio hatumuoni.
 
Kwakua Spiderman anaongelewa hiyo inamaanisha kua yupo kihalisia??

We unaonekana hata hujui maana ya fictional character
 
Unajichosha ndio unamswalia Mungu ambaye anajua wazi kuwa wewe mswaliji ni wa motoni , huku ni kupoteza muda
Bado hujajibu swali. Mimi sijui kama naingia peponi wala motoni, ndio maana nafanya ibada. Sasa kama sijui mwisho wangu, najichosha vipi? mtu unajichosha ukiwa unajijua.
 
Bado hujajibu swali. Mimi sijui kama naingia peponi wala motoni, ndio maana nafanya ibada. Sasa kama sijui mwisho wangu, najichosha vipi? mtu unajichosha ukiwa unajijua.
Unamfanyia ibada nani ? unaemfanyia ibada anamajibu yake kabla ya wewe ujaanza kufanya ibada ndio nikakwambia wewe unajichosha maana unaangaika na kitu ambacho tayari majibu yapo , yaani ww ufanye au usifanye tayari majibu yapo wacha kujichosha
 
asilimia 96 ya athest ni mashoga sasa sijui kiranga yupo group gani?
Tumeshuhudia ndoa nyingi za mashoga zikifungishwa makanisani, na pia kama ulisikia mwaka jana raisi wa ufilipino aliwapa ushauri mapadre watafute mabwana wa kuwaoa maana wengi wanajihusisha na ushoga.

na bado wapo wanaharakati wengi wanaficha ushoga wao kwenye miamvuli ya dini ili waonekane wema
 
tafsiri yake kwa kina.
 
Unamfanyia ibada nani ? unaemfanyia ibada anamjibu yake kabla ya wewe ujaanza kufanya ibada ndio nikakwambia wewe unajichosha maana unaangaika na kitu ambacho tayari majibu yapo , yaani ww ufanye au usifanye tayari majibu yapo wacha kujichosha
Ngoja nikufamishe kujichosha ni vipi, labda huelewi.

Kwa mfano unajua kuwa nikienda bandarini saa 12 sitpata boti ya kwenda Zanzibar, halafu ukienda, itakuwa umejichosha tena ni ujinga.

Lakini kama hujui kuwa mda huo hamna boti na ukaenda, basi hujajichosha, utakuwa umejifunza.

Sasa ibada nnayoifanya ni kwa faida yangu mwenyewe, yeye majibu anayo lakini mimi majibu sina ya wapi ntaishia. Yeye ameonesha njia ya kufuata na majibu ya kutegemea ukipitia izo njia. Ukifuata njia anayotaka basi pepo ukienda utakavyo basi moto, sasa mimi sijui yeye anajua mimi naishia wapi kwaio ni kufanya ibada na kuomba niwe wa peponi.

Narudia tena. Bado hujathibitisha najichosha vipi ikiwa MIMI sijui mwisho wangu?
 
Mauti yanayoongelewa si ya damu na nyama ni ya roho ( kuukosa uzima was milele), na mambo ya rohoni wanayoyajua ni watu wa rohoni
 
Kwakua Spiderman anaongelewa hiyo inamaanisha kua yupo kihalisia??

We unaonekana hata hujui maana ya fictional character
Kwan mi nimemuongelea Spiderman , ?
 
Bado hujajibu swali. Mimi sijui kama naingia peponi wala motoni, ndio maana nafanya ibada. Sasa kama sijui mwisho wangu, najichosha vipi? mtu unajichosha ukiwa unajijua.
Ndio hujui ila si unajua kua mungu anajua hatma yako??

Sasa kwakua hujui nini hatma yako ukaamua kutosali je utakua umeenda tofauti na alivyoona mungu katika hatma yako???
 
tafsiri yake kwa kina.
Binaadamu hatuna uwezo wa Kumuona Mungu.

Hata katika Bibilia sababu ya Mungu kutomuona limetajwa. huwa nashangaa kwanini huwa hamkisomi kitabu chenu wenyewe mkakielewa vizuri?

Exodus 33:20 But He said, "You cannot see My face, for no man can see Me and live!"
 
Maswali yake yanajibika ila yeye hataki kukubali majibu, halafu kumwelewesha mtu wa mwilini mambo ya rohoni sio rahisi kukuelewa
 
mfano mkuu ukiulizwa kwanini Mungu ameamua kujificha kabisa!!!hakuna ambaye amewahi kumuona.

utajibu kwa sababu ni swali,au utajibu jibu sahihi??
Mungu hajajificha, Mungu yupo kila wakati na anaonekana ila si katika ulimwengu wa nyama(mwili)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…