Kijana kijana
JF-Expert Member
- Mar 11, 2018
- 2,546
- 2,616
Nilitoa uzi siku zilizopita kuhusu uume kulala wakati wa shughuli yangu ya kiutu uzima kwamba uume unalala katikati ya tendo.
Ni kwamba nikiwa nafanya maandalizi ya kumuandaa mwenza huwa uume hausimami kabisa lakini akiwa tayari naushika na kuuchezea kama sec 30 hiv then ukisimama ukishazama haulali mpaka nimalize.ila kuendelea na round ya pili ndiyo shughuli.
Sasa shida ni kuwa wife akiona wakati namchezea haijasimama huwa anakataa nisipeleke dudu kwa kuwa anaona bado kumbe mwenyewe najua nmna ya kufanya.
Hili ni tatizo sio bure aisee mpaka uuchezee ndo usimame hapana.
Sasa kapata safari kama ya miezi mitatu hivi na mimi ni kijana myulivu sio mchepukaji(hata akili yangu haiwazi hivyo sio sababu sina uwezo).
Nilimtafuta bwana fulani anipe dawa eti ni laki na nusu ili nipone alafu ukinunua hiyo dawa unatafuta na maziwa na vitu vingine vya kuchanganya,nikaona upuuzi tu huu wa kutafuniana pesa.
Sasa baada ya kupitia nyuzi mbali mbali nikaona nije na mkakati ufuatao.kama kuna mtu ana nyongeza aongeze wakuu ili mnisaidie kuhusiana na hili
1.Nitakuwa nakimbia kila asubuhi mpaka nitoke jasho,yaani dk 30 zinanitosha kwa mazoezi kwa sababu nina uzoefu na mbio hivyo zitakuwa ni za spidi ya wastani sio ya kivivu.
2.baada ya hapo nitapata ndizi mbili na karanga na tende ujazo wa kama viganja viwili.
3.nitapata chai ya kawaida kama chapati au maandazi.
4.mchana mlo wa kawaida huku nazingatia maji mengi.
5.usiku ni matunda tu kama vile
A.tikiti maji
B.parachichi
C.tango
D.papai
Na nitaongeza na pushapu 20 tu kwa ajili ya kutafuta sababu ya kuoga maji.
Hiyo pesa ambayo ilikuwa nitafute dawa nitaitumia kwa ajili ya kununua matunda madogo madogo huku nnikiendelea kujiuguza.
5.nitapiga kegel exercise kwa siku mara tatu.
Asubuhi trip 1 ambayo itajumuisha kubana na kuachia msuli mara 20 na kila mara moja nitabana kwa sekunde 10kadhalika mchana na jioni hivyo hivyo)
6.nitatumia tape recorder method kwa ajili ya kuidanganya subconscious mind yangu iamini kwamba nina nguvu za kiume na sina tatizo nio fiti
( nadhani namba sita hii Bilionea Asigwa atakuwa anaifahamu vizuri sana )
7.sijihusishi na punyeto na wala sijihusishi na picha za ngono kutizama at all.
Tokea nilipokaribia kuoa nikaachana na hayo yote mpaka saiv nimeoa kitambo sijawahi fanya huu upuuzi na nadhani haya ninayoyapata ni kutokana na hayo namba 7 japo sikuona kama imeniathiri.
Kwa ufupi huo ndo mkakati wangu niliouweka kuhakikisha nafikia lengo la kurudi kuwa mwanaume ninayejikubali.
Naoamba kama kuna maelezo ya ziada muniongeze ili nianikishe na kama wewe ni muhanga kama mimi fuata maelekezo tu.
Nawatakia siku njema
Ni kwamba nikiwa nafanya maandalizi ya kumuandaa mwenza huwa uume hausimami kabisa lakini akiwa tayari naushika na kuuchezea kama sec 30 hiv then ukisimama ukishazama haulali mpaka nimalize.ila kuendelea na round ya pili ndiyo shughuli.
Sasa shida ni kuwa wife akiona wakati namchezea haijasimama huwa anakataa nisipeleke dudu kwa kuwa anaona bado kumbe mwenyewe najua nmna ya kufanya.
Hili ni tatizo sio bure aisee mpaka uuchezee ndo usimame hapana.
Sasa kapata safari kama ya miezi mitatu hivi na mimi ni kijana myulivu sio mchepukaji(hata akili yangu haiwazi hivyo sio sababu sina uwezo).
Nilimtafuta bwana fulani anipe dawa eti ni laki na nusu ili nipone alafu ukinunua hiyo dawa unatafuta na maziwa na vitu vingine vya kuchanganya,nikaona upuuzi tu huu wa kutafuniana pesa.
Sasa baada ya kupitia nyuzi mbali mbali nikaona nije na mkakati ufuatao.kama kuna mtu ana nyongeza aongeze wakuu ili mnisaidie kuhusiana na hili
1.Nitakuwa nakimbia kila asubuhi mpaka nitoke jasho,yaani dk 30 zinanitosha kwa mazoezi kwa sababu nina uzoefu na mbio hivyo zitakuwa ni za spidi ya wastani sio ya kivivu.
2.baada ya hapo nitapata ndizi mbili na karanga na tende ujazo wa kama viganja viwili.
3.nitapata chai ya kawaida kama chapati au maandazi.
4.mchana mlo wa kawaida huku nazingatia maji mengi.
5.usiku ni matunda tu kama vile
A.tikiti maji
B.parachichi
C.tango
D.papai
Na nitaongeza na pushapu 20 tu kwa ajili ya kutafuta sababu ya kuoga maji.
Hiyo pesa ambayo ilikuwa nitafute dawa nitaitumia kwa ajili ya kununua matunda madogo madogo huku nnikiendelea kujiuguza.
5.nitapiga kegel exercise kwa siku mara tatu.
Asubuhi trip 1 ambayo itajumuisha kubana na kuachia msuli mara 20 na kila mara moja nitabana kwa sekunde 10kadhalika mchana na jioni hivyo hivyo)
6.nitatumia tape recorder method kwa ajili ya kuidanganya subconscious mind yangu iamini kwamba nina nguvu za kiume na sina tatizo nio fiti
( nadhani namba sita hii Bilionea Asigwa atakuwa anaifahamu vizuri sana )
7.sijihusishi na punyeto na wala sijihusishi na picha za ngono kutizama at all.
Tokea nilipokaribia kuoa nikaachana na hayo yote mpaka saiv nimeoa kitambo sijawahi fanya huu upuuzi na nadhani haya ninayoyapata ni kutokana na hayo namba 7 japo sikuona kama imeniathiri.
Kwa ufupi huo ndo mkakati wangu niliouweka kuhakikisha nafikia lengo la kurudi kuwa mwanaume ninayejikubali.
Naoamba kama kuna maelezo ya ziada muniongeze ili nianikishe na kama wewe ni muhanga kama mimi fuata maelekezo tu.
Nawatakia siku njema