Hii njia inamaana imegoma kuwekwa lami?!!! Mbona miaka mingi hivyo, hata kama serikali haina hela kwa ajili ya hio njia lakini, something needs to be done.
Hii barabara waliitengeneza wakati fulani toka Mombo mpaka Soni kuanzia Soni kwenda Lushoto ilikuwa nzuri kiasi chake. Lushoto kuzuri sana barabara tu ndio shida.
Hii barabara waliitengeneza wakati fulani toka Mombo mpaka Soni kuanzia Soni kwenda Lushoto ilikuwa nzuri kiasi chake. Lushoto kuzuri sana barabara tu ndio shida.