utafiti nilioufanya kwa kipindi cha wiki mbili nimegundua chama cha mapinduzi yaani ccm kinaongozwa na viongozi wasio na huruma kabisa ndo maana hakuna anayejiudhuru au kuwajibika pale panapotoke madhara yanayosababishwa na viongozi wake,pili wananchi wengi wamefunguka watakapokaa na kutathmini ndugu na jamaa na ndugu zao waliouawa nchi aitatawalika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.