Yaani sasa ndio nimeelewa pale JPM aliposema analeta wataalamu wa haya mambo toka Rwanda. Hawa wetu wamelala sana. Wao ndio walitakiwa wawe mstari wa mbele kupigia kelele haya mambo.
Hivi hawa wetu wana baraza lao kweli, kama madaktari, wahandisi, au accountants?