ATCL kwa mapungufu haya hamtadumu

ATCL kwa mapungufu haya hamtadumu

Hiyo ndio shida ya serikali kujiingiza kwenye biashara za ushindani. Utakuta ATCL ni kichaka kinachoajiri wake na watoto wa wakubwa ambao hawachangii lolote kwenye ufanisi wa shirika. Hao ndio wanaotumia simu za shirika kuendeleza vikampuni na miradi binafsi, wanatumia computer za shirika kuchat kwenye social media. Baya zaidi watu hao hao hawawezwi kuwajibishwa kwa connections zao!
Tumeambiwa nidhamu imerejeshwa kwani si kweli?
 
Mimi sitaraji jipya kwenye muundo huu wa utendaji na usimamizi. Masuala ya kitaaluma yanafanyika kisiasa na ya kisiasa yanafanywa kwa nguvu ya dola.

Ingia leo kwenye tovuti ya VETA na NIT, utashangaa na kama huna kitambi unaweza timua mbio. Chuo kinachojinasibu kuwa KINAFUNDISHA IT, website yake iko hoi. Lakini humo humo kwenye page ambazo hazijakuwa updated tangu 2009 utaona mtu kaandika wanafundisha WEB DESIGNING.

Hii ndio Tanzania na hao ndio watendaji wetu linapokuja suala la teknolojia ya mawasiliano. Jana nilienda HELSB kusubmit Payment Details za waajiriwa wa kampuni yetu wanaodaiwa. Nimewekwa kwenye benchi 67minutes nasubiri karani anatafuta taarifa za benki kwenye faili lenye kurasa si chini 200 kwa kalamu. Najiuliza, ufanisi uko wapi na yapi ni mazuri ya IT kwa nchi yetu?

Hapo ATCL si ajabu ukakuta vijamaa fulani vimeajiriwa kufanya wajibu huo. Vyenyewe vitakuwa aidha, vibrazamen au tuzee. Kama ni wazee, I reserve my comments na kama ni vijana basi huwa ni SSK (Suti Safi Kibaruani). Mashati saaafi ya dukani kama waimba kwaya, kikamba kimeshuka shingoni na kutokomea mfuko wa shati na kabeji saaaafi IT. Kazi kuvaa suruali za model na viatu vya kuchongoka mbele, website ya kampuni kichefuchefu. Wanapitapita tu makoridoni wakivuta muda ifike lunch time wakale juice na sambusa 2 kama mademu...pambaf!
wayaaaa
 
Nimeamua kwa moyo safi kusafiri na ATCL kwa sababu nyingi tu, ambazo sitazitaja sababu ni uamuzi binafsi.

Kilichonisikitisha sana ni kwamba bado mko usingizini, business as usual!
Kwa muda wa wiki 2 sasa nimekuwa nikitembelea ofisi zenu katika moja ya mikoa ya kaskazini ili kununua return ticket ya Dsm, kwa kipindi cha kati ya tarehe 4/2 na 11/2.

Cha ajabu na kusikitisha mara kwa mara nimekuwa nikiambiwa labda uje kesho sababu makao makuu bado hawajaweka kwenye mtandao schedules za tarehe za mbele kuanza tarehe 9/2!

Na hata ukiingia kwenye website yao unashindwa kukata tiketi kwa tarehe hizo bila maelezo yeyote yanayoeleweka!

Wakati mashirika mengine ya ndege wala uhitaji kwenda ofisini, kuna options nyingi za kulipia tiketi.

Lawama hizi naitwisha menejimenti ya shirika, kama mmeshindwa kuwajibika si muachie ngazi!


Mbona wewe umedumu mpaka leo hii?
 
Mimi sitaraji jipya kwenye muundo huu wa utendaji na usimamizi. Masuala ya kitaaluma yanafanyika kisiasa na ya kisiasa yanafanywa kwa nguvu ya dola.

Ingia leo kwenye tovuti ya VETA na NIT, utashangaa na kama huna kitambi unaweza timua mbio. Chuo kinachojinasibu kuwa KINAFUNDISHA IT, website yake iko hoi. Lakini humo humo kwenye page ambazo hazijakuwa updated tangu 2009 utaona mtu kaandika wanafundisha WEB DESIGNING.

Hii ndio Tanzania na hao ndio watendaji wetu linapokuja suala la teknolojia ya mawasiliano. Jana nilienda HELSB kusubmit Payment Details za waajiriwa wa kampuni yetu wanaodaiwa. Nimewekwa kwenye benchi 67minutes nasubiri karani anatafuta taarifa za benki kwenye faili lenye kurasa si chini 200 kwa kalamu. Najiuliza, ufanisi uko wapi na yapi ni mazuri ya IT kwa nchi yetu?

Hapo ATCL si ajabu ukakuta vijamaa fulani vimeajiriwa kufanya wajibu huo. Vyenyewe vitakuwa aidha, vibrazamen au tuzee. Kama ni wazee, I reserve my comments na kama ni vijana basi huwa ni SSK (Suti Safi Kibaruani). Mashati saaafi ya dukani kama waimba kwaya, kikamba kimeshuka shingoni na kutokomea mfuko wa shati na kabeji saaaafi IT. Kazi kuvaa suruali za model na viatu vya kuchongoka mbele, website ya kampuni kichefuchefu. Wanapitapita tu makoridoni wakivuta muda ifike lunch time wakale juice na sambusa 2 kama mademu...pambaf!

Inasikitisha sana
 
Hao ATCL waache kufanya kazi kwa mazoea watatumbuliwa yakifika kwa mkuu sioni kama kuna ugumu wowote wa kuupdate mfumo kuna wakati nilikuwa na safari ya dharura kwenda kigoma, naenda kukata tiketi naambiwa ndege imejaa, baada ya kukaa muda mrefu tukibishana akatokea mkubwa wao alipouliza sababu za kubishana nikaeleza dharura ya safari yangu nikapata tiketi. Cha ajabu siku nasafiri siti nyingi zilikuwa wazi ni shidah shirika linahitaji kufanyiwa postmotum
 
Shirika lifumuliwe liajiri watu wengine kwa kweli. Na alikwishaambiwa hivyo. La hasha wafanyakazi wapewe mafunzo. Kwa uzalendo nikasema ngoja nianze tumia ATCL. Route ZNZ- DSM. Sasa kuulizia nikaambiwa gharama na route kosa ni kushtuka kwamba kwenda DSM ni lazima Kupitia Arusha. Namnukuu Service provider ' Sasa wewe unadhani tutatoka je ZNZ mpaka DSM wateja ni wachache sana'. bahati mbaya siwezi weka ile sauti yake alivyonijibu kwa kweli watoa huduma wajirekebishe la sivyo watakosa wateja!
 
Mimi sitaraji jipya kwenye muundo huu wa utendaji na usimamizi. Masuala ya kitaaluma yanafanyika kisiasa na ya kisiasa yanafanywa kwa nguvu ya dola.

Ingia leo kwenye tovuti ya VETA na NIT, utashangaa na kama huna kitambi unaweza timua mbio. Chuo kinachojinasibu kuwa KINAFUNDISHA IT, website yake iko hoi. Lakini humo humo kwenye page ambazo hazijakuwa updated tangu 2009 utaona mtu kaandika wanafundisha WEB DESIGNING.

Hii ndio Tanzania na hao ndio watendaji wetu linapokuja suala la teknolojia ya mawasiliano. Jana nilienda HELSB kusubmit Payment Details za waajiriwa wa kampuni yetu wanaodaiwa. Nimewekwa kwenye benchi 67minutes nasubiri karani anatafuta taarifa za benki kwenye faili lenye kurasa si chini 200 kwa kalamu. Najiuliza, ufanisi uko wapi na yapi ni mazuri ya IT kwa nchi yetu?

Hapo ATCL si ajabu ukakuta vijamaa fulani vimeajiriwa kufanya wajibu huo. Vyenyewe vitakuwa aidha, vibrazamen au tuzee. Kama ni wazee, I reserve my comments na kama ni vijana basi huwa ni SSK (Suti Safi Kibaruani). Mashati saaafi ya dukani kama waimba kwaya, kikamba kimeshuka shingoni na kutokomea mfuko wa shati na kabeji saaaafi IT. Kazi kuvaa suruali za model na viatu vya kuchongoka mbele, website ya kampuni kichefuchefu. Wanapitapita tu makoridoni wakivuta muda ifike lunch time wakale juice na sambusa 2 kama mademu...pambaf!
Kweli ww mwana mtoka pabaya. Wanakera sana ss kuna vingine vya hawa wakala wa TMAA viko huku mgodini ni ubishoo tupu. Job anaingia saa tano.
 
Jamani hawana uhakika tarehe hizo, pangaboi zitakuwa zinafanya kazi
 
Nimeamua kwa moyo safi kusafiri na ATCL kwa sababu nyingi tu, ambazo sitazitaja sababu ni uamuzi binafsi.

Kilichonisikitisha sana ni kwamba bado mko usingizini, business as usual!
Kwa muda wa wiki 2 sasa nimekuwa nikitembelea ofisi zenu katika moja ya mikoa ya kaskazini ili kununua return ticket ya Dsm, kwa kipindi cha kati ya tarehe 4/2 na 11/2.

Cha ajabu na kusikitisha mara kwa mara nimekuwa nikiambiwa labda uje kesho sababu makao makuu bado hawajaweka kwenye mtandao schedules za tarehe za mbele kuanza tarehe 9/2!

Na hata ukiingia kwenye website yao unashindwa kukata tiketi kwa tarehe hizo bila maelezo yeyote yanayoeleweka!

Wakati mashirika mengine ya ndege wala uhitaji kwenda ofisini, kuna options nyingi za kulipia tiketi.

Lawama hizi naitwisha menejimenti ya shirika, kama mmeshindwa kuwajibika si muachie ngazi!
Ni kweli website yao na booking system yao sio nzuri hata kidogo. Lakini nimetembelea website yao sasa hivi nimeona tangazo la kuomba radhi kuwa kama una book ticket ya kuanzia tarehe 8.2 na kuendelea, basi kuna usumbufu mkubwa kwani wana install system mpya. Hebu tuwasubiri labda ndio wanaanza kubadilika.
 
Ni kweli website yao na booking system yao sio nzuri hata kidogo. Lakini nimetembelea website yao sasa hivi nimeona tangazo la kuomba radhi kuwa kama una book ticket ya kuanzia tarehe 8.2 na kuendelea, basi kuna usumbufu mkubwa kwani wana install system mpya. Hebu tuwasubiri labda ndio wanaanza kubadilika.
Tunashukuru kwa hiyo taarifa. Lakini walipaswa toka mwanzo watoe hiyo taarifa , badala ya kusubiri malalamiko yote haya na hivyo kupoteza biashara kubwa.
All in all, tunaamini watakuwa wamejifunza kwa hilo.
 
Mimi sitaraji jipya kwenye muundo huu wa utendaji na usimamizi. Masuala ya kitaaluma yanafanyika kisiasa na ya kisiasa yanafanywa kwa nguvu ya dola.

Ingia leo kwenye tovuti ya VETA na NIT, utashangaa na kama huna kitambi unaweza timua mbio. Chuo kinachojinasibu kuwa KINAFUNDISHA IT, website yake iko hoi. Lakini humo humo kwenye page ambazo hazijakuwa updated tangu 2009 utaona mtu kaandika wanafundisha WEB DESIGNING.

Hii ndio Tanzania na hao ndio watendaji wetu linapokuja suala la teknolojia ya mawasiliano. Jana nilienda HELSB kusubmit Payment Details za waajiriwa wa kampuni yetu wanaodaiwa. Nimewekwa kwenye benchi 67minutes nasubiri karani anatafuta taarifa za benki kwenye faili lenye kurasa si chini 200 kwa kalamu. Najiuliza, ufanisi uko wapi na yapi ni mazuri ya IT kwa nchi yetu?

Hapo ATCL si ajabu ukakuta vijamaa fulani vimeajiriwa kufanya wajibu huo. Vyenyewe vitakuwa aidha, vibrazamen au tuzee. Kama ni wazee, I reserve my comments na kama ni vijana basi huwa ni SSK (Suti Safi Kibaruani). Mashati saaafi ya dukani kama waimba kwaya, kikamba kimeshuka shingoni na kutokomea mfuko wa shati na kabeji saaaafi IT. Kazi kuvaa suruali za model na viatu vya kuchongoka mbele, website ya kampuni kichefuchefu. Wanapitapita tu makoridoni wakivuta muda ifike lunch time wakale juice na sambusa 2 kama mademu...pambaf!
Maaamae... ulivyoandika hadi nakuona ndita zikitoka. Wangekua jirani ungewakatakata asee
 
Watanzania wengi bado tupo gizani katika mambo ya figisu figisu na hila zinazofanywa na makampuni makubwa na hata wapinzani toka nchi jirani ktk kuhakikisha wao wapo juu sikuzote so kinachotakiwa kikubwa ni kuwa wazi kama mkuu hapa alipoamua kuleta hili swala humu maana nikweli bado kuna vijihujuma vingi vinaendelea ilimradi tu kunafaisha watu flani flani adui wa maendeleo ya nchi yetu pendwa Tanzania
Hakuna hujuma hapo bana. Mnashindwa kazi mnasingizia hujuma
 
Lakini kuna mashirika mengi ya ndege yanayomilikiwa na/kwa kiasi kikubwa na serikali na yanafanya vyema. Mfano Ethiopia, Kenya, Qatar Airways n.k

Mimi nafikiri ni kuongeza usimamizi na uwajibikaji.

Hapa umetoa pointi! Suala sio nani anamiliki biashara, suala ni mfumo wa uendeshaji biashara yenyewe. Mashirika makubwa kama Emirates na Qatar yanamilikiwa na serikali na na bado yanaendeshwa kwa ufanisi mkubwa. Watendaji wakuu wa haya mashirika wanapatikana kwa kupitia ushindani na vetting kali. Pia wanapewa malengo ya kufikia (financial targets) na kupewa bonus pale wanapofikia au kupita hayo malengo.

Hii ATCL inaendeshwa kisiasa (parastatal organisation) na kwa hiyo haifiki kokote. Viongozi wakuu wa hili shirika (CEO na bodi ya wakurugenzi) wanateuliwa; si kwa vigezo vya weledi, uzoefu na uadilifu; bali ni kwa utiifu wao kwa chama tawala!
 
Nimeamua kwa moyo safi kusafiri na ATCL kwa sababu nyingi tu, ambazo sitazitaja sababu ni uamuzi binafsi.

Kilichonisikitisha sana ni kwamba bado mko usingizini, business as usual!
Kwa muda wa wiki 2 sasa nimekuwa nikitembelea ofisi zenu katika moja ya mikoa ya kaskazini ili kununua return ticket ya Dsm, kwa kipindi cha kati ya tarehe 4/2 na 11/2.

Cha ajabu na kusikitisha mara kwa mara nimekuwa nikiambiwa labda uje kesho sababu makao makuu bado hawajaweka kwenye mtandao schedules za tarehe za mbele kuanza tarehe 9/2!

Na hata ukiingia kwenye website yao unashindwa kukata tiketi kwa tarehe hizo bila maelezo yeyote yanayoeleweka!

Wakati mashirika mengine ya ndege wala uhitaji kwenda ofisini, kuna options nyingi za kulipia tiketi.

Lawama hizi naitwisha menejimenti ya shirika, kama mmeshindwa kuwajibika si muachie ngazi!
Sasa rafiki safari yenyewe hata ya siku hiyo hiyo uhakika waku go na ku return ni mdogo, unataka wakupe ya wiki mbili mbele, wakikuambia ukweli unawalaumu, jamaa hawana uhakika na safari zao, waelewe bwana!!
 
Majiran zetu Wa kenYa walimtoa mbuvi ngunze cement industry akazike KQ .....management za kujuana hz
 
tusiojua ndege
sijakanyaga uwanja wa ndege miaka zaidi ya 9
nilipitaga mwaka 2013 sijui naelekea ukonga mombasa ... nikapaona kwa mbaali!!!

sisi kwetu NGORIKA, MINING NICE WIFI NAE nk
Umaskini mbaya sana
 
Mimi sitaraji jipya kwenye muundo huu wa utendaji na usimamizi. Masuala ya kitaaluma yanafanyika kisiasa na ya kisiasa yanafanywa kwa nguvu ya dola.

Ingia leo kwenye tovuti ya VETA na NIT, utashangaa na kama huna kitambi unaweza timua mbio. Chuo kinachojinasibu kuwa KINAFUNDISHA IT, website yake iko hoi. Lakini humo humo kwenye page ambazo hazijakuwa updated tangu 2009 utaona mtu kaandika wanafundisha WEB DESIGNING.

Hii ndio Tanzania na hao ndio watendaji wetu linapokuja suala la teknolojia ya mawasiliano. Jana nilienda HELSB kusubmit Payment Details za waajiriwa wa kampuni yetu wanaodaiwa. Nimewekwa kwenye benchi 67minutes nasubiri karani anatafuta taarifa za benki kwenye faili lenye kurasa si chini 200 kwa kalamu. Najiuliza, ufanisi uko wapi na yapi ni mazuri ya IT kwa nchi yetu?

Hapo ATCL si ajabu ukakuta vijamaa fulani vimeajiriwa kufanya wajibu huo. Vyenyewe vitakuwa aidha, vibrazamen au tuzee. Kama ni wazee, I reserve my comments na kama ni vijana basi huwa ni SSK (Suti Safi Kibaruani). Mashati saaafi ya dukani kama waimba kwaya, kikamba kimeshuka shingoni na kutokomea mfuko wa shati na kabeji saaaafi IT. Kazi kuvaa suruali za model na viatu vya kuchongoka mbele, website ya kampuni kichefuchefu. Wanapitapita tu makoridoni wakivuta muda ifike lunch time wakale juice na sambusa 2 kama mademu...pambaf!
mi nasibiri waje wale wanyarwanda
 
Back
Top Bottom