Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,252
- 98,255
Sipati picha huko ikihitajika watu wa kuisukuma itakuwaje
In God we trust
Inaenda china au inaenda kichina china
In God we trust
Inaenda china au inaenda kichina china
"Watanzania wote wanaijua Guangzhou" by prof! Mimi huwa simwelewi prof hivi huwaakiongea mhemko unatoka wapi?
..hakuna watalii cheap/wabahili na ambao hawajastaarabika kama wachina.
Wachina hawana lolote, mafisadi tu na wezi hao
China wanatoa rushwa kwenye nchi za Africa ili kupata kandarasi za ujenzi...
China wanamwaga vitu feki huku Tanzania
Tanzania ni shamba la bibi kuuzia vitu feki
Kwa Nini Tanzania inashindwa kuuza Mahindi na Nguruwe China?
China inaagiza Corns (Mahindi) kutoka Marekani (USA)
Unafiki tu na Mazuzu yanashangilia
Chadema watapinga
Wanawekeza viwanda vya kuchoma mahindiWachina wanaita wawekezaji wenye maana kutoka Europe na USA - Why
Eti Watanzania wanaita wawekezaji wa hovyo kutoka China?
Zunguzia safari za ndege acha kuhamisha magoli
Yaani Jiwe katuingiza hasara kubwa sana kwenye koroshowSio wanapinga wanataka njia iwe sahihi siyo jiwe anapuyanga tu.kwenye korosho watu walipinga je forex imepatikana?je mabomu na meno yalizibangua?tupeni mrejesho wa malori yenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mane no yanatakiwa yasemwe na mkurugenzi ATCL , ikifika September safari hazijaanza sijui sikuI Prof Kabudi atasimamia wapiView attachment 1069861
Waziri wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe Prof Palamagamba Kabudi amesema shirika la ndege nchini ATCL linatarajia kuanza safari za ndege ya moja kwa moja kutoka Dar es Salaam mpaka kwenye jiji la Guangzhou nchini China ili kuchochea biashara na utalii kati ya Tanzania na China.
Akizungumza wakati wa ufunguzi wa ofisi ndogo za ubalozi wa China jijini Dodoma Waziri Kabudi anasema Guangzhou ndio kitovu cha biashara baina ya nchi hizi mbili na safari hizo zinatarajiwa kuana kati ya mwezi June na Septemba ambapo pia mwaka ujao wa fedha Tanzania itafungua ubalozi mdogo kwenye jiji hilo.
Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya bunge ya mambo ya nje ulinzi na usalama Mhe Mussa Azan anasema mataifa ya Tanzania na China yana uhusiano wa kihistoria kwa muda mrefu huku balozi wa china nchini Wang ke akisema nchi yake itaendelea kuunga mkono juhudi za Tanzania kwenye mambo mbalimbali ya maendeleo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanawekeza viwanda vya kuchoma mahindi
In God we trust
Wanajiaminisha sasa utasema wana data za Wateja waoLabda ndege iende tupu maana hamtapata abiria
In God we trust
Kabugi hanaga aibu kabisa kumbuka lile issu ya mkenya kununua tani laki moja za korosho nayeye alipiga picha wana saini mkataba lkn kumbe ni patupuHaya mane no yanatakiwa yasemwe na mkurugenzi ATCL , ikifika September safari hazijaanza sijui sikuI Prof Kabudi atasimamia wapi
Kwa hiyo Ikulu Sasa unafanya biashara. Anikodishie mimi Mchagga miaka 5 tu mnapata faida na ndege zenu. Nawapa. Ila sawaSafari za India vipi, Zambia na Zimbabwe tunaomba marejesho..
Japo nasikia muda sio mrefu ATCL itahamishiwa Ikulu, hakuna CAG kugusa tena.
Zunguzia safari za ndege acha kuhamisha magoli
[/QUOTE
Uwezo wako kuconnect safari za ndege na biashara ni mdogo
Enhe ndege inaenda kuleta samaki mbovu za Kichina?
Safari za ndege, kubeba abiria--hao abiria wanaenda kufanya nini? sio biashara na utalii ...