Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Ni kweli serikali inataka faida ili irudishe pesa iliyotumika kununulia ndege 8. Lakini bei ya ticket bado zipo juu sana.
Hivyo mjitahidi kufanya kama ilivyokuwa Fastjet ili kila Mtanzania afaidi.
Hivyo mjitahidi kufanya kama ilivyokuwa Fastjet ili kila Mtanzania afaidi.