Tarehe 10 Machi 2018 nimesafiri toka Dsm mpaka Kilimanjaro. Safari ilitakiwa ianze SAA 11:40 lakini tukaondoka SAA sita na robo usiku. Kisa ni kupata hitilafu ya kiufundi huko mwanza.
Kabla ya Bomberdier tulikuwa na cs 300 ndege iliyoweza kufanyakazi katika kipindi chote.
Lakini baada ya kupata mpya wakatelekeza ya zamani Kyle hangani. Ukiuliza eti wanasema imekaa muda mrefu ni ngumu kuiamsha kwani ni gharama.
Mheshimiwa wa Waziri Mbarawa na Mwenyekiti wa bodi ATCL fanyeni jitihada za makusudi ili huyo twiga aliyelala aamka.
Usiache mbachao kwa msala upitao.
Kabla ya Bomberdier tulikuwa na cs 300 ndege iliyoweza kufanyakazi katika kipindi chote.
Lakini baada ya kupata mpya wakatelekeza ya zamani Kyle hangani. Ukiuliza eti wanasema imekaa muda mrefu ni ngumu kuiamsha kwani ni gharama.
Mheshimiwa wa Waziri Mbarawa na Mwenyekiti wa bodi ATCL fanyeni jitihada za makusudi ili huyo twiga aliyelala aamka.
Usiache mbachao kwa msala upitao.