Comfucious pedagogy
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 211
- 39
Mimi enzi hizo sikuwapo alafu sina upako wa kutabiri hivyo siwezi kukujibu kama alikuwa na MTU.
Kila jambo linawakati wake yeye wakati wake wakuwa na wewe ni sasa . Mpe fursa.
Kuna manzi nilimwambia hisia zangu toka chuoni mwaka wa pili, akajifanya msimamo sana nikawa mpole tu.
Miezi miwili baadae akawa ananitafuta nikimwomba sex hataki, tukamaliza, tumepata kazi ukanda mmoja na kama kawaida anajisogeza.
Vipi enzi hizo alikuwa na mwingine au?
Kuna manzi nilimwambia hisia zangu toka chuoni mwaka wa pili, akajifanya msimamo sana nikawa mpole tu.
Miezi miwili baadae akawa ananitafuta nikimwomba sex hataki, tukamaliza, tumepata kazi ukanda mmoja na kama kawaida anajisogeza.
Vipi enzi hizo alikuwa na mwingine au?
Kuna manzi nilimwambia hisia zangu toka chuoni mwaka wa pili, akajifanya msimamo sana nikawa mpole tu.
Miezi miwili baadae akawa ananitafuta nikimwomba sex hataki, tukamaliza, tumepata kazi ukanda mmoja na kama kawaida anajisogeza.
Vipi enzi hizo alikuwa na mwingine au?