Kuna manzi nilimwambia hisia zangu toka chuoni mwaka wa pili, akajifanya msimamo sana nikawa mpole tu.
Miezi miwili baadae akawa ananitafuta nikimwomba sex hataki, tukamaliza, tumepata kazi ukanda mmoja na kama kawaida anajisogeza.
Vipi enzi hizo alikuwa na mwingine au?