Leo nipo kwenye misa ya kumsimika askofu Mkuu wa songea Damian Dallu. Kati ya wageni ni kapteni komba. Kwa unene ule siamini kwa uzembe huu naye ataingia msituni.
ati nilisikia nini kuhusu kale ka binti ka mauaji ya msanii maarufu wa bongo move aaaaaah wajameni jimwili lote hilo ukikakandamiza si utapata mada kesi!!!!!
Ooyooo huyo si komba huyo ni pipa la rasimali za tanganyika na kabla ya kuingea msituni kwanza aende boko haramu akachukuwe mazoezi maana msituni na taarabu au cha kacha ni vitu tafauti sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.