Ataka nimalizia haja zake loooo

Ataka nimalizia haja zake loooo

amu

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2012
Posts
16,143
Reaction score
31,275
Habari za mchana.
Hivi mvua za dar sasa zaleta mambo jamani mtoto wa watu natoka posta naenda home nimepanda daladala la ubungo halijajaza sana mie nimekaa kwenye siti ya pembeni karibu na pale wanaposimama watu.
Nipo busy na simu maana ndo kiingiza mood na kitoa mood changu.
Kuja kushtuka naona kitu kigumu kinanichoma mkononi na jotojoto khaa kuangalia pembeni kijana kasimama yaani kajisogeza mpaka kahakikisha dushelele limenishika mkononi jamani nlichofanya nikajikunyata mkono na mimi mwenyewe ili asipate nafasi jamani mhh basi likitembea likikata kona ananisogelea kabisa mpaka ahakikishe ananigusa.
Fire watu wanashuka nafasi ipo mbele hataki kwenda kukaa wala kusogea pembeni.
Nilichokifanya nikahama siti nikahamia mbele maana ningemuacha angemaliza haja zake pale.
Nyie watu mjirekebishe!!!!
 
loh lazma alikuwa na mfadhaiko huyo....si aende buguruni akanunue tu!
 
yaani mtu anakuletea dudu lake unaishia kujikunyata? Walahii angeanza iupokea kichapo kwenye bus akaishia polisi
 
Bila shaka nilichokigundua kwako inaelekea wee ni bonge la totoz, na muonekano wako (matawi ya juu) unawatia hofu wanaume kukusemesha kwa kuhofia kushindwa kukidhi viwango vyako.
Nawe punguza urembo utatutia aibu wakware sie kwa kujilowanisha suruale zetu.
 
ha ha ha ha ha!!! amu!!!karibu jukwaa la wakubwa!
 
Last edited by a moderator:
Dawa yao kutembea na pini tu, akikugusa unamtovuga nayo, dudu inanywea yenyewe!!!!!!!!
 
aah mi nataka kujua kaa uko singo, maana mtu kaa anaeza kua na ujasiri huo kwene daladala lazma utakua umependelewa na Maulana, hebu utulize moyo wangu basi/
 
Ungemwuliza anapajua uwanja wa fisi mbona pale fasta tu angemaliza!
 
mmmh,yaani dushelele linagusagusa unalisikilizia tu,we c useme tu ulikuwa unatamani ucku uwe umeenda sana umbinulie,huna lolote,umehamasika na kukurukakara za sela rijali a.k.a mdunguaji original
 
Habari za mchana.
Hivi mvua za dar sasa zaleta mambo jamani mtoto wa watu natoka posta naenda home nimepanda daladala la ubungo halijajaza sana mie nimekaa kwenye siti ya pembeni karibu na pale wanaposimama watu.
Nipo busy na simu maana ndo kiingiza mood na kitoa mood changu.
Kuja kushtuka naona kitu kigumu kinanichoma mkononi na jotojoto khaa kuangalia pembeni kijana kasimama yaani kajisogeza mpaka kahakikisha dushelele limenishika mkononi jamani nlichofanya nikajikunyata mkono na mimi mwenyewe ili asipate nafasi jamani mhh basi likitembea likikata kona ananisogelea kabisa mpaka ahakikishe ananigusa.
Fire watu wanashuka nafasi ipo mbele hataki kwenda kukaa wala kusogea pembeni.
Nilichokifanya nikahama siti nikahamia mbele maana ningemuacha angemaliza haja zake pale.
Nyie watu mjirekebishe!!!!

Ungemuacha apige japo moko tu aondoe mingunga!!!
 
Weeee mpoleee eeenh...uiiiw angekoma ningemvuta mpaka ajute...shame on him
 
Back
Top Bottom