At a blink of an eye....! ( kufumba na kufumbua)

At a blink of an eye....! ( kufumba na kufumbua)

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,869
Reaction score
828,403
Tofauti ya muda wa kupigwa picha hizi haizidi masaa 10. Picha ya kwanza, asubuhi tar.9 Sep 1990 akiwa Rais wa Liberia akielekea makao makuu ya vikosi vya ulinzi wa amani Afrika Magharibi (ECOMOG). Alikuwa akipokea mwaliko wa mkuu wa vikosi hivyo Jenerali Anold Quinoo aliyemuhakikishia ulinzi na usalama. Alijiamini lakini hakujua.

Picha ya pili, jioni tar.9 Sep 1990 akiwa chini ya ulinzi wa vikosi vya waasi vya INPFL. Vikosi hivi vya uasi vilipata taarifa ya ziara ya Rais, vikajipanga na kuvamia kambi ya ECOMOG na kumkamata Rais. Aliteswa sana. Alikatwa sikio, akakatwa uume, akafungwa kamba miguuni, halafu ikaning'inizwa kwenye gari na kuanza kuburuzwa mitaani. Mwili wake uliburuzwa mitaa ya Monrovia ukiwa umewekewa sigara mdomoni, huku raia wakishangilia.

Naam! Tofauti ya muda wa kupigwa picha hizi mbili haizidi masaa 10. Ni ushahidi wa wazi kuhusu mambo yanavyobadilika haraka, ni somo kwa walio tayari kujifunza.

Huyu ni Samuel Doe aliyekuwa Rais wa Libeira asiyejali utu wala ubinadamu. Aliteka waliomkosoa, akawatesa, akawaua. Alifunga jela wapinzani wake, alidiriki hata kuwateka na kuwapoteza viongozi wa dini. Miili wa watu iliokotwa katika fukwe za Buchanan na Monrovia ikiwa imeharibika vibaya na mingi haikutambulika. Ilidaiwa ni miili ya wale waliomkosoa. Alikua katili na alifurahia kuona wengine wakiteseka.

Aliingia madarakani kwa mapinduzi na mauaji, naye akatolewa kwa mapinduzi na kuuawa na vikosi vya Prince Johnson aliyekuwa mshirika wa Charles Taylor. Kikombe kilekile alichowanywesha raia wake ndio hichohicho alichokinywea.

Habari za vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Liberia na Sierra Leone zinatisha sana. Hazipendezi. Lakini ni kumbusho kwa watawala wanaotesa na kusababisha maumivu makali kwa wengine. Wanaoua na kupoteza wengine. Wajue ya kwamba ipo siku utawala wao utatamatika. Kwa kupenda au bila kupenda. Ni lazima itokee. Ni asili.

Si sahihi kutoa hukumu ya mateso na kifo nje ya mfumo wa kimahakama, lakini baadhi ya watawala wanafanya hayo bila kujua wanaimarisha utamaduni wa kishetani. Na siku yakiwakuta, tutasema; wametumbukia shimo walilochimba wenyewe.

1760245509319.jpg
 
Na waangamie hivo hivo viongozi wa serikali zote bandidu zinazozima sauti za wanaharakati ili waweze kufanya madudu yao kwa uhuru.
 
Tofauti ya muda wa kupigwa picha hizi haizidi masaa 10. Picha ya kwanza, asubuhi tar.9 Sep 1990 akiwa Rais wa Liberia akielekea makao makuu ya vikosi vya ulinzi wa amani Afrika Magharibi (ECOMOG). Alikuwa akipokea mwaliko wa mkuu wa vikosi hivyo Jenerali Anold Quinoo aliyemuhakikishia ulinzi na usalama. Alijiamini lakini hakujua.

Picha ya pili, jioni tar.9 Sep 1990 akiwa chini ya ulinzi wa vikosi vya waasi vya INPFL. Vikosi hivi vya uasi vilipata taarifa ya ziara ya Rais, vikajipanga na kuvamia kambi ya ECOMOG na kumkamata Rais. Aliteswa sana. Alikatwa sikio, akakatwa uume, akafungwa kamba miguuni, halafu ikaning'inizwa kwenye gari na kuanza kuburuzwa mitaani. Mwili wake uliburuzwa mitaa ya Monrovia ukiwa umewekewa sigara mdomoni, huku raia wakishangilia.

Naam! Tofauti ya muda wa kupigwa picha hizi mbili haizidi masaa 10. Ni ushahidi wa wazi kuhusu mambo yanavyobadilika haraka, ni somo kwa walio tayari kujifunza.

Huyu ni Samuel Doe aliyekuwa Rais wa Libeira asiyejali utu wala ubinadamu. Aliteka waliomkosoa, akawatesa, akawaua. Alifunga jela wapinzani wake, alidiriki hata kuwateka na kuwapoteza viongozi wa dini. Miili wa watu iliokotwa katika fukwe za Buchanan na Monrovia ikiwa imeharibika vibaya na mingi haikutambulika. Ilidaiwa ni miili ya wale waliomkosoa. Alikua katili na alifurahia kuona wengine wakiteseka.

Aliingia madarakani kwa mapinduzi na mauaji, naye akatolewa kwa mapinduzi na kuuawa na vikosi vya Prince Johnson aliyekuwa mshirika wa Charles Taylor. Kikombe kilekile alichowanywesha raia wake ndio hichohicho alichokinywea.

Habari za vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Liberia na Sierra Leone zinatisha sana. Hazipendezi. Lakini ni kumbusho kwa watawala wanaotesa na kusababisha maumivu makali kwa wengine. Wanaoua na kupoteza wengine. Wajue ya kwamba ipo siku utawala wao utatamatika. Kwa kupenda au bila kupenda. Ni lazima itokee. Ni asili.

Si sahihi kutoa hukumu ya mateso na kifo nje ya mfumo wa kimahakama, lakini baadhi ya watawala wanafanya hayo bila kujua wanaimarisha utamaduni wa kishetani. Na siku yakiwakuta, tutasema; wametumbukia shimo walilochimba wenyewe.

View attachment 3487387
Umeshachamganyikiwa naona. Ulipotena kidogo then kama kawaida yako umekuja na uharo wa kipindupindu..Bora Fanya kama wenzako chukia post za Mange au Sarungi zilete hapa. Uwezo wako wanakili kukenga hoja Kwenye post zako ni mdogo mno.
 
Umeshachamganyikiwa naona. Ulipotena kidogo then kama kawaida yako umekuja na uharo wa kipindupindu..Bora Fanya kama wenzako chukia post za Mange au Sarungi zilete hapa. Uwezo wako wanakili kukenga hoja Kwenye post zako ni mdogo mno.
Hapo kazungumza yaliyotokea huko Liberia, mbona una mihemko kiasi hiko na kujistukia? wewe namtoa mada nani anaonekana ana uwezo mdogo kufikiri na kujenga hoja?

Ipo hivi kila anayeua kwa upanga na yeye atakufa kwa upanga...
 
Umeshachamganyikiwa naona. Ulipotena kidogo then kama kawaida yako umekuja na uharo wa kipindupindu..Bora Fanya kama wenzako chukia post za Mange au Sarungi zilete hapa. Uwezo wako wanakili kukenga hoja Kwenye post zako ni mdogo mno.
Hapa umeandika ukiwa umepanic na kuogopa sana. Can u tell us why???
 
Viongozi Wa Afrika Na Matumizi Mabaya Ya Madaraka Kama Pepo Wanapoingia Ikulu Linawapata

Pengine Hizi Ikulu Kuna Siri Nyuma Ya Pazia

Stori Karibia Afrika Yote Watalawa Matatizo Yanafanana Na Walikuwepo Madarakani Hawajifunzi Napia Hawaoni
 
Usilinganishe mapinduzi mengine na yatayotokea Tanzania.

Liberia walikuwa na civil war ya chini kwa chini muda mrefu, kuna documentary moja ya mwana habari mmoja wa Kenya ambae alikuwa na access na Charles Taylor.

Jamaa kadadavua hilo saga from first hand experience kwa kina sana as a reporter to what transpired leading the fall of Charles Taylor.

Contrary Tanzania ina vyombo vya ulinzi imara na watiifu kwa mamlaka kwa mujibu wa katiba. Lakini baadhi ya walinzi wachache wanaelewa kiapo chao Tanzania kwanza kabla ya maslahi ya mtu.

Sasa basi maandamano yafanyike tarehe 29 au la ni swala la muda kabla ya wahusika kuichukua nchi. Uvumilivu wa huyo mama kwenye vyombo vya ulinzi umefikia kikomo.

Binafsi sitabiri tarehe 29 itakuwa siku ya kumtoa, ila nina uhakika amalizi second term; she is just a bad president anae haribu nchi.

Swala la kuondelewa ni inevitable.
 
Umeshachamganyikiwa naona. Ulipotena kidogo then kama kawaida yako umekuja na uharo wa kipindupindu..Bora Fanya kama wenzako chukia post za Mange au Sarungi zilete hapa. Uwezo wako wanakili kukenga hoja Kwenye post zako ni mdogo mno.
Hili bandiko umeliandika whilst cycling a bicycle au wakati ukikimbia chooni kwa kushikwa na tumbo la kuhara?
Comparing the two posts, ya kwako na uliyoidharau iko dhahiri kwamba you're either the stupidest person to ever comment in this forum au hiyo post imekufanya urukwe na akili kutokana na ukweli kuwa within the blink of an eye a ruler can be turned into a captive, a very possible scenario.
 
Usilinganishe mapinduzi mengine na yatayotokea Tanzania.

Liberia walikuwa na civil war ya chini kwa chini muda mrefu, kuna documentary moja ya mwana habari mmoja wa Kenya ambae alikuwa na access na Charles Taylor.

Jamaa kadadavua hilo saga from first hand experience kwa kina sana as a reporter to what transpired leading the fall of Charles Taylor.

Contrary Tanzania ina vyombo vya ulinzi imara na watiifu kwa mamlaka kwa mujibu wa katiba. Lakini baadhi ya walinzi wachache wanaelewa kiapo chao Tanzania kwanza kabla ya maslahi ya mtu.

Sasa basi maandamano yafanyike tarehe 29 au la ni swala la muda kabla ya wahusika kuichukua nchi. Uvumilivu wa huyo mama kwenye vyombo vya ulinzi umefikia kikomo.

Binafsi sitabiri tarehe 29 itakuwa siku ya kumtoa, ila nina uhakika amalizi second term; she is just a bad president anae haribu nchi.

Swala la kuondelewa ni inevitable.
Hakuna nilipofanya ulinganifu.. Soma vizuri kilichoandikwa
 
Usilinganishe mapinduzi mengine na yatayotokea Tanzania.

Liberia walikuwa na civil war ya chini kwa chini muda mrefu, kuna documentary moja ya mwana habari mmoja wa Kenya ambae alikuwa na access na Charles Taylor.

Jamaa kadadavua hilo saga from first hand experience kwa kina sana as a reporter to what transpired leading the fall of Charles Taylor.

Contrary Tanzania ina vyombo vya ulinzi imara na watiifu kwa mamlaka kwa mujibu wa katiba. Lakini baadhi ya walinzi wachache wanaelewa kiapo chao Tanzania kwanza kabla ya maslahi ya mtu.

Sasa basi maandamano yafanyike tarehe 29 au la ni swala la muda kabla ya wahusika kuichukua nchi. Uvumilivu wa huyo mama kwenye vyombo vya ulinzi umefikia kikomo.

Binafsi sitabiri tarehe 29 itakuwa siku ya kumtoa, ila nina uhakika amalizi second term; she is just a bad president anae haribu nchi.

Swala la kuondelewa ni inevitable.
Sasa maandamano yafanyike tarehe 29 au la ni swala la muda kabla ya kuichukua nchi. Uvumilivu wa huyo mama kwenye vyombo vya ulinzi umefikia kikomo🤔🥺
 
Mzee wa Msoga ni fisadi la kutisha, ila bado familia ipo bungeni, mwanae mmoja ni waziri. Bado yupo nyuma ya bi mkubwa, yaani haridhiki kabisa kabisa na ufisadi.

Huyu mama nae tayari ameshafanya ufisadi wa kufuru, pesa ameshaziingiza za kutosha ila bado anagombea tena Urais ili kujinufaisha yeye na familia yake, umri wenyewe umeenda.

WAULIWE TU.
 

View: https://m.youtube.com/watch?v=NDnmf3EZ9ZE&pp=ygUUSmVmZiBLb2luYWdlIExpYmVyaWE%3D

Ugomvi wangu mkubwa na member wa hili jukwaa ni kutokupenda, delving into details on political sagas because I believe they ought to be serious people na ndio maana kupeleka wapuuzi kwenye ignore list kwangu ni dakika moja tu.

Huyo jamaa ☝️‘Jeff Koinange’ a Kenyan journalist who had close access to ‘Charles Taylor’ government ukimsikiliza; kuna mengi ya kujifunza on what transpired before and after the Liberia civil war.

Just search his interview or buy his book.
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
Back
Top Bottom