Astronauts: Is sex in space possible or unthinkable exertion?

Astronauts: Is sex in space possible or unthinkable exertion?

Annuity

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2013
Posts
338
Reaction score
198
If humanity is serious about colonizing Mars, we need to get busy studying how to get busy in space..
- Mike Wall.
Kumekuwa na harakati nyingi sana katika huu ulimwengu ambapo nchi za dunia ya kwanza zimekuwa zikienda kufanya shughuli mbali mbali za kitafiti katika sayari nyingine na mwezini.

Matajiri nao wameona fursa ya kufanya biashara ya utalii kwa kupeleka watu wenye ''fedha zao'' kwenda anga za mbali ''kula bata'', lakini pia kijana mwenye uwezo mkubwa wa kiakili na mtaalamu wa kutengeza roketi na kuzitupa anapotaka Elon Musk na kampuni yake ya SpaceX amesema mpaka 2022 lazima watu wawe wameenda zao sayari ya Mars ''kula maisha'' kulingana na jarida la Fortune.

Kutokana na shauku kubwa ya watu kutaka kwenda huko ampako watu wa fizikia wanatuambia kuna micro-gravity environment ambapo unaelea kama unyoya tu. Swali langu kwa wataalamu wa anga Astronauts Je huko anga za mbali suala la kujamiiana linawezekana? wakati tunafahamu nguvu ambayo inatumika wakati wa tendo hili ni kubwa na in weightless manner it means haliwezi kufanyika? na hakuna mahali ambapo imeshaonesha kuwa kitendo hiki kimeshafanyika huko anga za mbali hata NASA wanakiri suala hili halijafanyika na ni gumu kufanyika kwa mazingira ya kule.. sasa tunapofikiria kuhamia sayari nyingine tumeshafikiri watu watazaliana vipi wakati sex kwa huko is almost impossible?

Nafikiri hii ni loophole amabayo watafiti wanaifumbia macho ila ina impact kuliko wanavyadhani, kupeleka watu wakaishi huko siamini kama inatosha without thinking of sex, kwa nature ya binadamu hawezi akaishi mahali without sex au kuzaliana.


let m know the truth...
 
Huko mars kufanya nn hadi niende..
Nikikutana na JACK GIANT je au yale ma watu kwenye muvi ya JOHN CARTER si ntafwaaa..
I LOVE MY DUNIA TANZANIA..
 
Kula, kuoga, kunya, kukojoa vyote vinafanyika ndani ya ISS, iweje sexing isiwezekane?? Itawezekana tu mkuu, ila itakubidi ucheze sana na forces ili kufanikisha.
 
Kula, kuoga, kunya, kukojoa vyote vinafanyika ndani ya ISS, iweje sexing isiwezekane?? Itawezekana tu mkuu, ila itakubidi ucheze sana na forces ili kufanikisha.
Interesting kwa kweli
 
If humanity is serious about colonizing Mars, we need to get busy studying how to get busy in space..
- Mike Wall.
Kumekuwa na harakati nyingi sana katika huu ulimwengu ambapo nchi za dunia ya kwanza zimekuwa zikienda kufanya shughuli mbali mbali za kitafiti katika sayari nyingine na mwezini.

Matajiri nao wameona fursa ya kufanya biashara ya utalii kwa kupeleka watu wenye ''fedha zao'' kwenda anga za mbali ''kula bata'', lakini pia kijana mwenye uwezo mkubwa wa kiakili na mtaalamu wa kutengeza roketi na kuzitupa anapotaka Elon Musk na kampuni yake ya SpaceX amesema mpaka 2022 lazima watu wawe wameenda zao sayari ya Mars ''kula maisha'' kulingana na jarida la Fortune.

Kutokana na shauku kubwa ya watu kutaka kwenda huko ampako watu wa fizikia wanatuambia kuna micro-gravity environment ambapo unaelea kama unyoya tu. Swali langu kwa wataalamu wa anga Astronauts Je huko anga za mbali suala la kujamiiana linawezekana? wakati tunafahamu nguvu ambayo inatumika wakati wa tendo hili ni kubwa na in weightless manner it means haliwezi kufanyika? na hakuna mahali ambapo imeshaonesha kuwa kitendo hiki kimeshafanyika huko anga za mbali hata NASA wanakiri suala hili halijafanyika na ni gumu kufanyika kwa mazingira ya kule.. sasa tunapofikiria kuhamia sayari nyingine tumeshafikiri watu watazaliana vipi wakati sex kwa huko is almost impossible?

Nafikiri hii ni loophole amabayo watafiti wanaifumbia macho ila ina impact kuliko wanavyadhani, kupeleka watu wakaishi huko siamini kama inatosha without thinking of sex, kwa nature ya binadamu hawezi akaishi mahali without sex au kuzaliana.


let m know the truth...
Nafikiri sex inawezekana ila kuzaliana nina mashaka, sidhani kama kuna gravitational force huko ya kuwezesha sperm to flow otherwise ifanyike kwa kuwa controlled, sio naturally!!
 
Tusubiri...labda watakuja na Majibu ya hili (sex) baada ya utafiti wao..!!

Najaribu kuwaza....Binaadam kuishi katika mazingira ambayo huwezi kuona Miti, Mito, Milima na pengine Ndege na Wanyama wafugwao..!!

Kupatwa na MSONGO, na ule ugonjwa uitwao, HOME FEVER/HOME SICK hakuwezi kuepukwa.
 
Hakuna maisha bila Gravity Hata mars gravity ipo japo ni Ndogo compare na Earth kuna sehemu inaitwa NULL point hapo ndio weightless na life haliwezekani apo tu
 
kwenye mars sio null point so inawezekana kufanya chochote.....
 
Naona wazungu koko wanatengeneza mbinguni au nchi Mpya kisha waue watu wao wasepe Kwa kisingizio kuwa Mungu kaleta kiama na kuchukua watu wake.


Any way, Kweli wazungu koko wamejipanga kuleta tamko la kiama ya Dunia.
 
Swala la sex ni jambo dogo sana. Hata huko ISS wanasex kama kawaida.
 
If humanity is serious about colonizing Mars, we need to get busy studying how to get busy in space..
- Mike Wall.
Kumekuwa na harakati nyingi sana katika huu ulimwengu ambapo nchi za dunia ya kwanza zimekuwa zikienda kufanya shughuli mbali mbali za kitafiti katika sayari nyingine na mwezini.

Matajiri nao wameona fursa ya kufanya biashara ya utalii kwa kupeleka watu wenye ''fedha zao'' kwenda anga za mbali ''kula bata'', lakini pia kijana mwenye uwezo mkubwa wa kiakili na mtaalamu wa kutengeza roketi na kuzitupa anapotaka Elon Musk na kampuni yake ya SpaceX amesema mpaka 2022 lazima watu wawe wameenda zao sayari ya Mars ''kula maisha'' kulingana na jarida la Fortune.

Kutokana na shauku kubwa ya watu kutaka kwenda huko ampako watu wa fizikia wanatuambia kuna micro-gravity environment ambapo unaelea kama unyoya tu. Swali langu kwa wataalamu wa anga Astronauts Je huko anga za mbali suala la kujamiiana linawezekana? wakati tunafahamu nguvu ambayo inatumika wakati wa tendo hili ni kubwa na in weightless manner it means haliwezi kufanyika? na hakuna mahali ambapo imeshaonesha kuwa kitendo hiki kimeshafanyika huko anga za mbali hata NASA wanakiri suala hili halijafanyika na ni gumu kufanyika kwa mazingira ya kule.. sasa tunapofikiria kuhamia sayari nyingine tumeshafikiri watu watazaliana vipi wakati sex kwa huko is almost impossible?

Nafikiri hii ni loophole amabayo watafiti wanaifumbia macho ila ina impact kuliko wanavyadhani, kupeleka watu wakaishi huko siamini kama inatosha without thinking of sex, kwa nature ya binadamu hawezi akaishi mahali without sex au kuzaliana.


let m know the truth...
Kusex itakuwa inawezekana ila sio katika hali ya ku enjoy
 
Bila gravitation force huwez kudinda vizuri ko sex haiwezekan
 
Tusubiri...labda watakuja na Majibu ya hili (sex) baada ya utafiti wao..!!
Najaribu kuwaza....Binaadam kuishi katika mazingira ambayo huwezi kuona Miti, Mito, Milima na pengine Ndege na Wanyama wafugwao..!!
Kupatwa na MSONGO, na ule ugonjwa uitwao, HOME FEVER/HOME SICK hakuwezi kuepukwa.


kweli bro umefikira pakubwa sana siwezi kwenda katika makazi ambayo Mungu hakuniketisha..nyie nendeni hata bure ne nabaki peke angu..... nikiwa mbali tu na home kwa mwaka mzima naumwa je nikiwa huko km millions kadhaa??
 
Back
Top Bottom