Wataalam wenzangu,kwanza kwa hapa dar astra 2F @ 28'E na nilesat 7'W zinaweza kupatikana kwa dish saizi gani na ku aina gani?na kama kuna yeyote aliyewahi kupata zote hizo au mojawapo, aweke attachment ili tujifunze kwa mifano wataaaalamu,pili jamani huwa naweza kuipata amos 5 @ 17'E kila ninapotaka bila taaabu,lakini hiyo eutelsat 16'E huwa inanitatiza sana,wapi ninnapopishana nayo wataaaalam,nina offset dish ya cm 90,na prime focus ya 180 cm na eurostar ku ya 0.3db,ntashukuru wataaaaaalm