Safi tu anausoma mchezo akiwa nje. Sub ni tano.Pre-match media reports zilisema angecheza. Kwa hiyo hana majeraha, tungejua.
Saa ya mwamuzi haiku vibrate. Unataka afayeje??Mapumziko. Bila bila.
Aston wanabebwa na refa, watangazaji wanalalamika mwanzo mwisho
Shaffield wamenyimwa goli la wazi kipa wa Villa kadakia mpira nyavuni nyuma ya mligoti. Refa kapeta.
Ngapi ngapi kwaniSamatta yuko peke yake mbele, anasubiri mipira, na hakuna midfielder wa kumkumbuka kumpelekea mipira
na yeye mwenyewe hajiongezi kulazimisha kushuka
Ngapi ngapi kwani
Wewe jamaa utakuwa kiazi, tena kile kiazi kitamuMapumziko. Bila bila.
Aston wanabebwa na refa, watangazaji wanalalamika mwanzo mwisho
Shaffield wamenyimwa goli la wazi kipa wa Villa kadakia mpira nyavuni nyuma ya mligoti. Refa kapeta.
wachawi wengi wamefurahiRobo Tatu Ya Watanzania Wachawi.
Mpira unaendelea mechi ya kwanza baada ya lockdown; Mbwana Samatta anasugua! Dalili mbaya kwa Samatta.
Aston Villa 0
Sheffield United 0
Dakika ya 35