Assistant Credit Officers needed

Assistant Credit Officers needed

Character X

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2012
Posts
331
Reaction score
382
WEDAC ni Shirika lililopo Mkoani Arusha linalojihusisha na utoaji wa huduma za kifedha kwa wamama wa jasiria Mali vijijini. WEDAC inanafasi mbili kwaajili ya Assistant Credit Officers.
muombaji awe na Diploma au Degree ya Course yoyote ya Biashara, Au IT. Awe mchapa kazi na mwenye uwezo wakutimiza majukumu kwa wakati bila kulazimu ufuatiliaji wakaribu kupindukia. Awe tayari kufanya kazi mahali popote ndani ya mkoa wa arusha na manyara, na awe tayari kusafiri mara kwa mara.
Kuomba tuna C.V yako na nakala za vyeti kwenda
GENERAL MANAGER
WEDAC
P.O BOX 156 MONDULI

au
wedacadmin@wedac.org

Mwisho wakutuma maombi ni tarehe 13/9/2013 saa tisa jioni.

wanawake wanatiwa moyo kuomba.
Watakao orodheshwa watapigiwa simu.
 
kazi kama hizo za credit officers sio lzm watu wawe na dipoloma au degree za biashara kwa uzoefu wangu nimeona mabenk mabalimabli yakiajiri people frm different academic bacground...na performence yao iko poa so tanuen wigo
 
Back
Top Bottom