Assist me finish this dissertation

Assist me finish this dissertation

Lut

Member
Joined
Dec 23, 2012
Posts
17
Reaction score
16
Je una uwezo wa kunisaidia kuandaa proposal mpaka dissertation ?

Ni pm namba yako ya simu au email address tuwasiliane.

pia napatikana kwenye strike5867@gmail.com,

Malipo yauhakika yatakuepo.
 
Poor u! Sasa ukigraduate utakuwa umegraduate wewe au huyo aliekuandikia?
 
Je una uwezo wa kunisaidia kuandaa proposal mpaka dissertation kwenye somo la Finance?

Ni pm namba yako ya simu au email address tuwasiliane.

pia napatikana kwenye strike5867@gmail.com,

Malipo yauhakika yatakuepo.

Dessertation ni muhimu sana kwa wanaosoma Post Graduate kwani inakufanya usome vitabu vingi sana kuhusiana na topic au tatizo uliloamua kulifanya tafiti; kwa kusoma hivyo vitabu na kuandika unakuwa umeelewa sana ile topic na inahitimishwa kwa wewe kutunikiwa shahada. Sasa unapoomba ufanyiwe utaelewa nini? Wewe unatakiwa ufanye mwenyewe kwa maelekezo na ushauri wa "Supervisor" wako.....si busara hata kidogo kuandikiwa Dessertation
 
Subiri kidogo kuna jamaa anamalizia kuogesha mtoto atakusaidia hata kupokea cheti, na interview ya kazi pia anaweza kwenda badala yako. Hata kubalance mahesabu kazini pia ukishindwa atakuja.

Subiri tu.
 
Dessertation ni muhimu sana kwa wanaosoma Post Graduate kwani inakufanya usome vitabu vingi sana kuhusiana na topic au tatizo uliloamua kulifanya tafiti; kwa kusoma hivyo vitabu na kuandika unakuwa umeelewa sana ile topic na inahitimishwa kwa wewe kutunikiwa shahada. Sasa unapoomba ufanyiwe utaelewa nini? Wewe unatakiwa ufanye mwenyewe kwa maelekezo na ushauri wa "Supervisor" wako.....si busara hata kidogo kuandikiwa Dessertation

Ndo maana nchi hii tunautitiri wa madaktari ambao matendo na elimu wanayo dai kuwa nayo haviendani.
 
Hi! Mtu wakukuandikia namba yke ni 0719 855 268.
Ni dada yngu utamwambia nimepew na mdgo wko.
All da best!
 
Je una uwezo wa kunisaidia kuandaa proposal mpaka dissertation ?

Ni pm namba yako ya simu au email address tuwasiliane.

pia napatikana kwenye strike5867@gmail.com,

Malipo yauhakika yatakuepo.

Na umlipe pesa usimlipe vingine maana nyinyi watu laini laini hamkawii kugawa gawa!
 
Siamini postgraduate mzima anawezakuja na requet kama hii..
Mods futa hii
 
Mbona hata hujaeleza field ya specialisation? Kwani tatizo liko wapi-unataka wa kukuongoza (supervisor mbadala) au wa ki if any a hiyo kazi?
 
Back
Top Bottom