Hapa ndio tofauti ilipo.
Wakati mwingine kafanya korabo na fally ipupa.
Mwingine anafanya na aslay + ommy dimpoz
Wachawi wa maisha yetu ni sisi wenyewe.
Yaani nimeicheki YouTube kiukweli ngoma mbovu. Wala sijaikubali kwenye ukwwli tuuseme tu japo hawa wote ni wasanii ninaowakubali.Ngoma mbaya aivutii kuanzia beat, Melody Hadi corus alafu pia hakuna chemistry Kati yao
Duh! Kwani we unampenda msanii gani?Angeshirikishwa msanii nimpendae na ngoma ingekua mbovu ningesikitika sana
Yule wanamuitaga domoDuh! Kwani we unampenda msanii gani?
OkYule wanamuitaga domo
Team Mondi mtapata taabu sana.Ngoma mbaya aivutii kuanzia beat, Melody Hadi corus alafu pia hakuna chemistry Kati yao
Alkiba ni underground yule, Acha King Domo denga aendelee kuchanja mbuga.
Alkiba ni underground yule, Acha King Domo denga aendelee kuchanja mbuga.
Kuna tatizo..Kolabo yao imewazika badala ya kuwaimarisha imewa disappoint sana washabiki wao