CHADEMAASILI
Senior Member
- Jan 19, 2018
- 122
- 92
Nimesoma chapisho la Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Mashariki STEPHEN MUNGA akimpongeza Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jhn pombe Magufuli kwa kuwasamehe William Ngeleja na Januari Makamba na sasa Nape Nnauye
MUNGA ni miongoni mwa Viongozi wa Dini ambao walitawaliwa na hisia hasi badala ya uhalisia dhidi Rais Magufuli. Kwa sababu mwenyewe (MUNGA) amekiri na kufananisha roho ya Upendo aliyonayo Rais MAGUFULI na waliyokuwa nayo Mfalme Daudi na Mfalme Selemani, naamini MUNGA atasamehewa na Mungu kutokana na hisia za chuki alizokuwa nazo dhidi ya Rais.
Mara nyingi sana Rais Magufuli ameonesha Upendo kwa Watanzania wote hata wale waliokuwa na hisia za chuki dhidi yake, kujitokeza kwa watu kama akina Munga na kukiri waziwazi upendo huu wa Rais kwa watu wake ni makusudi ya Mungu kwa wote wenye hisia za chuki dhiki yake.
MUNGA ni miongoni mwa Viongozi wa Dini ambao walitawaliwa na hisia hasi badala ya uhalisia dhidi Rais Magufuli. Kwa sababu mwenyewe (MUNGA) amekiri na kufananisha roho ya Upendo aliyonayo Rais MAGUFULI na waliyokuwa nayo Mfalme Daudi na Mfalme Selemani, naamini MUNGA atasamehewa na Mungu kutokana na hisia za chuki alizokuwa nazo dhidi ya Rais.
Mara nyingi sana Rais Magufuli ameonesha Upendo kwa Watanzania wote hata wale waliokuwa na hisia za chuki dhidi yake, kujitokeza kwa watu kama akina Munga na kukiri waziwazi upendo huu wa Rais kwa watu wake ni makusudi ya Mungu kwa wote wenye hisia za chuki dhiki yake.