johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,020
- 142,059
Askofu mkuu wa KKKT Dr Shoo ashangaa Dayosisi ya KKKT Kusini Mashariki ya Ziwa Victoria kutokuwa na Mchungaji hata mmoja wa kike
Askofu Shoo amesema KKKT iliamua kuwa na Wachungaji wa kike mwaka 1990 baada ya kupitia maandiko Matakatifu Biblia
Kwa sasa tuna Wachungaji wa Kike zaidi ya 400 nchi nzima lakini nashangaa huku Shinyanga Wachungaji wote ni Wanaume, amesema Dr Shoo
Chanzo: Upendo Tv
Askofu Shoo amesema KKKT iliamua kuwa na Wachungaji wa kike mwaka 1990 baada ya kupitia maandiko Matakatifu Biblia
Kwa sasa tuna Wachungaji wa Kike zaidi ya 400 nchi nzima lakini nashangaa huku Shinyanga Wachungaji wote ni Wanaume, amesema Dr Shoo
Chanzo: Upendo Tv