Soliambingu
Member
- Sep 12, 2016
- 65
- 30
Pengo hana watoto hana mke hana kimada analala bure halipi rent anakula bure halipi umeme halipi ada ya watoto hana pressure sadaka watu wanatoa tu but shoo anajua maisha ana watoto analipa karo ananunua chakula anaöipa umeme na anatumia mshahara wake kwa maisha yake anapiga budgeti kama ss huyo ndio mwenzetu wa kumsikiliza Pengo hata mchakato wa katibampya alichangia kuharibu mi nasema maaskofu wa KKKT wawe wazi pia kupigania nafasi kwa walutheri mkisema mdini shauri yenu unganeni maaskofu KKKT na pentecostal churches nchi nzima siyo daily pengo tu we are tired with pengo seen seen as head of allchristian