Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,144
- 26,648
Sasa nani atufanyie maombi kama Taifa?
Mkuu wewe na mimi,na si mchungaji wala askofu tunapaswa kuomba toba kwa Mungu! Kumuomba Mungu aturehemu na kuvunja maagano yaliyoasisiwa na kuharibu misingi