Mkuu utakuta mtu ana waumini kumi na hata wasaidizi hana lakini anajiita Askofu. Uaskofu umeingiliwa
Mkuu,
Mwakasege ameingiaje hapa? Yeye sio na ajiiti Askofu na wala hana Kanisa. Yeye ni Mwalimu tu!!!! Please usitafuta kuwachafua watu bila sababu za msingi!!!!!
Tiba
Nabii flora acha kupaka mkorogo. Thamini kazi nzuri ya uumbaji iliyofanywa na mungu.
Mkuu nimeona jina la Morine Amatus. Hii siyo ile habari ya mtoto wa Amatus Liyumba aliyekamatwa kule Lindi na mzigo? Mbona hii imekuja kama habari nyingine tena mpya?
Lindi ni kituo cha usambazaji madawa ya kulevya?
Huyo askofu hakukimbia aliachwa tu atokomee zake. Katika hali hiyo ya usiku polisi watakuwaje wazembe kiasi hicho hadi mtu akimbie. Ina maana waliisimamisha hiyo gari kichwa kichwa? Jamaa wangekuwa na mashine si wangewamaliza polisi wetu hao? Kuna vimelea vya ufisadi hapa.
MORIS Charles hujitambulisha kwa jina la Yusuph Mohamed Lutengwe.
hivi huyu dada ni mtanzania kweli.
Sasa wakale wapi>
Kwanini mnang'ang'ania kuwa huyu bwana anajiita askofu ili hali anatumia majina mawili moja la kikiristo na jingine la kiislam?Je haiwezekani kuwa Yusuf Mohamed Lutengwe ndio huyo anaejiita Morris Charles hivyo akawa ni shekh na sio askofu?
hajakimbia huyo ni mchongo wa mkubwa huo..kweli vita ya madawa hatutaiweza kamwe
Mkuu hawa wandundu huwa hawaaminiki. Unaweza kukuta ni Sheikh huko Sudan ya Kusini na ni Askofu hapa Tanzania!
Kwahiyo hapo unawatetea hawa maaskofu walokamatwa na haya madawa au unania gani? Embu funguka zaidi
Waliokamatwa wametajwa kuwa ni pamoja na Ismail Adamu (28), Hamad Said (27), Morine Amatus (22) na Pendo Mohammed Chausi (67) ambaye ni mwenye nyumba yalipokamatwa madawa hayo. Tayari watu hao wamepandishwa kizimbani.
Hawa maaskofu hii ndiyo biashara yao kitambo! Ni swala la muda tu yule nyangumi mwenye wafuasi wengi atatiwa mbaroni!