Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 71
| |
|
[TD="bgcolor: #ffffff"]
| |
|
Kwa taarifa Askofu huyo ni kada wa CCM na aliwahi kutaka kugombea ubunge kwa tiketi ya chama cha mafisadi. Huko kanisani kajificha tu, yeye mwenyewe anajua hayupo kwa ajili ya waumini wake ambao wanakufa kwa magonjwa yanayotibika kwan ipesa za madawa zimechukuliwa na mafisadi ambao mwisho wa siku wanatoa sadaka maalumu kanisani kwa askofu huyo. Ebu fuatillia makanisa hayo yanapo itisha harambee utakuta waalikwa wakuu ni mafisadi. Kunawakati waliwahi kumualika mwenyekiti wa mafisadi Rostamu Azizi, baada ya kupigiwa kelele walijifanya kumurudishia mchango wake.Askofu ambaye anahubiri neno la Mwenyanzi Mungu na anaona kulipa dowans ni halali basi ujue yeye mwenyewe amejificha kwenye mwamvuli wa dini kuwachuna kondoo za Mungu sadaka yao.
Ndio wale wale wanaokurupuka kutoa kauli bila ya kufikiri kwa kina. Mungu atamnusuru kwa kuwa na uwezo finyu wa uelewa.
The source justifies the content. When u pick Tz Daima expect nothing else more than cleansing and praising EL.