Askofu Mwamakula: Tunduma hali sio shwari

Askofu Mwamakula: Tunduma hali sio shwari

Tishio la Mafuriko ya Mwakajoka linaua watu hilo lijamaa.
 
Huyu ndugu yeye anaona matatizo tu.

Hakuna jema kwenye nafsi yake hata kidogo??

Sidhani kama alikua mtu sahihi kufanya kazi ya Mungu.
Jema lipi huku mnaua watu na kubambikia makesi?? Mmelaaniwa ninyi, na mwatumbi yaliyowazaa na watoto wemu walaaniwe milrle.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Nili kuwepo Songwe wiki moja iliyo pita wilayani Songwe mji wa Mkwajuni. Kwa masikio yangu nilimsikia katibu wa UVCCM wilaya akisema kwenye sanduku la kura Ccm haita weza kushinda hata kata moja Tunduma.
Mkakati ulio wekwa na Ccm ikishirikiana na dola ni kuwaengua wagombea nane wa udiwani. Na ndio hicho kina tokea sasa..
 
Nili kuwepo Songwe wiki moja iliyo pita wilayani Songwe mji wa Mkwajuni. Kwa masikio yangu nilimsikia katibu wa UVCCM wilaya akisema kwenye sanduku la kura Ccm haita weza kushinda hata kata moja Tunduma.
Mkakati ulio wekwa na Ccm ikishirikiana na dola ni kuwaengua wagombea nane wa udiwani. Na ndio hicho kina tokea sasa..
Wanaenda kumwaga damu Songwe na dunia itaenda kuwa adhabu kubwa sana mwaka huu au mwanzoni mwaka kesho. Time will tell!
 
Hiiii kiki tena mtafeli vibayaaa na mtaumbuka
Kama ile ya arusha mliochoma ofisi yenu sasa polisi wamewakamataaaa.
Siwezi kukushangaa kwani hata Mh Lissu mlisema kajipiga risasi ili kupata huruma ya Wananchi. Akwilina Akwiline unafahamu fika ni nani waliomuua kuwa ni Polisi lkn cha ajabu kesi wakapewa wengine bila hata chembe ya aibu.
 
Siwezi kukushangaa kwani hata Mh Lissu mlisema kajipiga risasi ili kupata huruma ya Wananchi. Akwilina Akwiline unafahamu fika ni nani waliomuua kuwa ni Polisi lkn cha ajabu kesi wakapewa wengine bila hata chembe ya aibu.
Wewe wasemaa
 
Wakati mwingine kufa mmoja ili maelfu wapone ni jambo jema.
Msimamizi wa uchaguzi wa jimbo huwa ni mmoja tuu na wakazi wa Tunduma ni maelfu.
Kupanga ni kuchagua
 
Kinondoni tulikaa kimya , sasa mtu atie pua kuidhulumu haki ya mpiga kura.
Tutawachagua hata kama wako mahabusu.
Kitu ambacho hatutaki kusikia ni ccm.
 
Jema lipi huku mnaua watu na kubambikia makesi?? Mmelaaniwa ninyi, na mwatumbi yaliyowazaa na watoto wemu walaaniwe milrle.
Hiyo laana ikurejee wewe na ukoo wako Mara Saba .
 
Hiiii kiki tena mtafeli vibayaaa na mtaumbuka
Kama ile ya arusha mliochoma ofisi yenu sasa polisi wamewakamataaaa.

Ww ndio bonge la zoba, ofisi ichomwe na watu wenye miaka zaidi ya 55, halafu wote sio wakazi wa Arusha na wala picha tusionyeshwe? Yaani mtu ni mzee asafiri toka Dar kwenda Arusha kuchoma ofisi za cdm? Bado polisi wanatumia mbinu za kizee hivyo karne hii!
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Kila siku tunasema humu kuwa ccm ndio itapeleka nchi hii kutokutawalika kutokana na matendo yao ya dhuluma, kuminya demokrasia na kutokutenda haki.
hatukuwahi kuyaona haya ktk awamu zilizopita ispokuwa ktk awamu hii tu, rejeeni ktk uchaguzi wa serikali za mitaa uliopita.
 
Ww ndio bonge la zoba, ofisi ichomwe na watu wenye miaka zaidi ya 55, halafu wote sio wakazi wa Arusha na wala picha tusionyeshwe? Yaani mtu ni mzee asafiri toka Dar kwenda Arusha kuchoma ofisi za cdm? Bado polisi wanatumia mbinu za kizee hivyo karne hii!
Kwani mkiwapa zile sadaka mnazotoza kwenye zile ndooo nyeupe za Lita 20, sizinatosha kuwasafirisha?! Na si ndio matumizi yake kwenu??
Au sadaka zetu mnazotoza mnazifanyia nini jamanii?
Kumbukeni tutawaomba mrejesho wa mapato na matumizi ya hizo sadaka.
Mzile vibaya mkijua.
 
Kwani mkiwapa zile sadaka mnazotoza kwenye zile ndooo nyeupe za Lita 20, sizinatosha kuwasafirisha?! Na si ndio matumizi yake kwenu??
Au sadaka zetu mnazotoza mnazifanyia nini jamanii?
Kumbukeni tutawaomba mrejesho wa mapato na matumizi ya hizo sadaka.
Mzile vibaya mkijua.

Narudia tena, polisi wetu bado wana uongo wa kizee ile mbaya, wazee wenye miaka 55 ndio wakachome ofisi? Hayo mambo huwa yanafanywa na vijana na sio wazee. Liambie jeshi la polisi liache kutumika kizembe.
 
Narudia tena, polisi wetu bado wana uongo wa kizee ile mbaya, wazee wenye miaka 55 ndio wakachome ofisi? Hayo mambo huwa yanafanywa na vijana na sio wazee. Liambie jeshi la polisi liache kutumika kizembe.
Kila kiki mnayoigiza inabumaaa, mnawakati mgumu.
Kwa akili yako mzee wa miaka 80 hawezi washa moto?
Miaka 55 mbona bado kijana huyoo??
Mumeumbukaa
Mnatengeneza kiki halafu mnawahiii mitandaoni kujipostisha ili ionekane niwengineee.

Nasubiri uchaguzi uishe jamaa yenu, apate jumla kura 200, halafu takuorodheshea matukio na kiki mlizotengenezaa zika buma na ushaidi wakeee
 
Back
Top Bottom