Askofu Msonganzila: Vyombo vya habari vinaweza kuchangia migogoro ya kisiasa, visikubali kutumiwa ovyo ovyo

Askofu Msonganzila: Vyombo vya habari vinaweza kuchangia migogoro ya kisiasa, visikubali kutumiwa ovyo ovyo

Mwizukulu wa Buganda

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2024
Posts
638
Reaction score
1,771


Akizungumza na waandishi wa habari mjini Musoma leo Jumanne Machi 10, 2026, Askofu wa Jimbo Katoliki la Musoma, Michael Msonganzila amevitaka vyombo vya habari kuwa waangalifu vinapotafuta habari kwani vinaweza kuchangia kuleta migogoro ya ajabu ya kisiasa, na visikubali kutumiwa ovyo ovyo
 
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Musoma leo Jumanne Machi 10, 2026, Askofu wa Jimbo Katoliki la Musoma, Michael Msonganzila amevitaka vyombo vya habari kuwa waangalifu vinapotafuta habari kwani vinaweza kuchangia kuleta migogoro ya ajabu ya kisiasa, na visikubali kutumiwa ovyo ovyo
Hana akili, vyombo vya habari Kwani vinamiliki bunduki! anaachq kuwaonya wanasiasa anaogopa
 
Hana akili, vyombo vya habari Kwani vinamiliki bunduki! anaachq kuwaonya wanasiasa anaogopa
Screenshot_20250729-090555~2.png
 
Hana akili, vyombo vya habari Kwani vinamiliki bunduki! anaachq kuwaonya wanasiasa anaogopa
Mwandishi wa habari Moja ya Majukumu yake ni pamoja na kuzitafuta habari popote pale zilipo .Hata Vitani wanakwenda sembuse kwenye Kanisa Katoliki La Musoma!!? Huyo ni chawa wa CCM kama walivyo wengine tu,musikilize anavyo ng'ata na kupiliza!?Wakuwashangaa hapo ni Polisi- CCM kurusha Mabomu kwenye mazingira yasiyo kuwa vurugu wala viashiria.Bila hivyo uwepo wao pale bado usingeshangaza pia maana ni wadau wa Usalama wangejificha kwenye kuwa na taarifa za Kiintelijensia au Walipita kusali maana ni Kanisani hatuingii Kwa vitambulisho maalumu.
 
Back
Top Bottom