Mwizukulu wa Buganda
JF-Expert Member
- Nov 19, 2024
- 638
- 1,771
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Musoma leo Jumanne Machi 10, 2026, Askofu wa Jimbo Katoliki la Musoma, Michael Msonganzila amevitaka vyombo vya habari kuwa waangalifu vinapotafuta habari kwani vinaweza kuchangia kuleta migogoro ya ajabu ya kisiasa, na visikubali kutumiwa ovyo ovyo