Mwizukulu wa Buganda
JF-Expert Member
- Nov 19, 2024
- 638
- 1,771
Askofu Michael Msonganzila ametoa pendekezo hilo wakati akizungumzia kitendo cha jeshi polisi kuwashambulia bawacha eneo la kanisani
---
Askofu wa Jimbo Katoliki la Musoma, Michael Msonganzila amelaani tukio la Jeshi la Polisi kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanachama, wafuasi na viongozi Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha) katika eneo la Kanisa Kuu la jimbo hilo mjini Musoma, akisema kitendo hicho kinazidisha chuki kwa jeshi hilo.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Musoma leo Jumanne Machi 10, 2026, Askofu Msonganzila amesema Jeshi la Polisi lilipaswa kutumia busara na hekima badala ya kutumia nguvu kuwatawanya watu hao, ambao hawakuwa na aina yoyote ya silaha.
---
Askofu wa Jimbo Katoliki la Musoma, Michael Msonganzila amelaani tukio la Jeshi la Polisi kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanachama, wafuasi na viongozi Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha) katika eneo la Kanisa Kuu la jimbo hilo mjini Musoma, akisema kitendo hicho kinazidisha chuki kwa jeshi hilo.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Musoma leo Jumanne Machi 10, 2026, Askofu Msonganzila amesema Jeshi la Polisi lilipaswa kutumia busara na hekima badala ya kutumia nguvu kuwatawanya watu hao, ambao hawakuwa na aina yoyote ya silaha.