Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,436
- 5,233
Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Musoma mkoani Mara, Michael Msoganzila leo Oktoba 26, 2025 amewaomba waumini wa kanisa hilo kuombea uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika Jumatano Oktoba 29, 2025 ili uwe wa haki na amani na kuwahimiza kwenda kupiga kura na kuchagua kiongozi wanayeona anafaa kwa maendeleo.