Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
askofU mukiwa anasema leo wazi wazi kwamba uchaguzi wa 2010 utakuwa mgumu sana kwa wanasiasa wengi kwa sababu wananchi wengi wameshajua haki zao ni zipi!.
.''....wanasiasa waongo hawana nafasi,wananchi wengi wameshajua haki zao,kanisa la kianglikana limejiandaa kwa dhati kabisa kuwaelimisha waumini wake namna na vigezo vya kumchagua kiongozi bora!.....''
HAYA SASA JAMANI!kazi mnayo wakina masatu,wakina GT,na wengine ,na kwa yoyote anayehusika
.''....wanasiasa waongo hawana nafasi,wananchi wengi wameshajua haki zao,kanisa la kianglikana limejiandaa kwa dhati kabisa kuwaelimisha waumini wake namna na vigezo vya kumchagua kiongozi bora!.....''
HAYA SASA JAMANI!kazi mnayo wakina masatu,wakina GT,na wengine ,na kwa yoyote anayehusika