Askofu Mkuu Gervas Nyaisonga: Kijana usishiriki dhambi za mauaji wala kuteka watu

Askofu Mkuu Gervas Nyaisonga: Kijana usishiriki dhambi za mauaji wala kuteka watu

"Kijana usishiriki dhambi za mauaji...." Hakuna mwenye haki ya uhai juu ya mtu mwingine

Dondoo ya Askofu Mkuu Gervas Nyaisonga wa Jimbo Kuu la Mbeya katika kongamano la 6 la VIWAWA taifa 2025,

Daaah head master wangu huyu miaka flani hivi. Ilinichukua muda sana kuamini kama alikuwa padre kwa kipindi hicho, maana pia alikuwa mwalimu wa scout. Smart sana kichwani huyu jamaa
 
"Kijana usishiriki dhambi za mauaji...." Hakuna mwenye haki ya uhai juu ya mtu mwingine

Dondoo ya Askofu Mkuu Gervas Nyaisonga wa Jimbo Kuu la Mbeya katika kongamano la 6 la VIWAWA taifa 2025,

na makasisi wanaowalawiti wa vijana wadogo wajitakase uchafu huo unaolichafua kanisa katoliki.

waache ufirauni na itapendeza zaidi 🐒
 
Wataalamu wa Falsafa wanaelewa kauli hiyo inamaanisha nini. Sasa sijui kama anaowaambia wanamwelewa.
 
Back
Top Bottom