Askofu Mdegela: 1995 nilimchagua Mrema, 2015 nilimchagua Lowassa. Magufuli alifanya kazi kubwa lakini Lowassa angefanya kubwa zaidi!

ukiuliza sababu ni ipi Edo angefanya makubwa zaidi hakwambii, Edo na Mzee wa Msoga policy zao ni zile zile, hapa ungekuwa ni mwendelezo wa kuteteana tu

Mwendazake mwacheni tu, yule alikuwa mtu na nusu.
Japo kuna machche Magufuli alifanya vizuri, lakini overall performance, Mkapa and Kikwete were 10 times better than Magufuli. Hata Samia ni much better than Magufui. Hapo simwongelei Mwalimu Nyerere ambaye huna la kumlinganisha na Magufuli.

Uongozi wa Marehemu Magufuli ulikuwa kama wa mtu limbukeni, asiye na exposure lakini anayamini anaelewa sana.

Alididimiza sana ukuaji wa uchumi. Alididimiza ukuaji wa uwekezaji toka 28% mpaka 4%. Alianguasha ukuaji wa utalii toka 15% mpakqla 3.6%. Aliangusha thamani ya mauzo ya nje ya mazao ya kilimo kwa 50%.

Hakujua hata maana ya uongozi, aliamini ukiwa kiongozi unawaswaga watu kama ng'ombe. Aliharibu kabisa mahusiano ya kimataifa. Hakuelewa hata faida ya watu kuwa wengi, yeye alitaka watu wengine wowote wasiongee chochote bali wawe wasikilizaji wake.

Magufuli was a primitive leader who zero qualities of leadership. Tje higjest role he could fit was a supervisory role, nothing else.
 
Bahati nzuri wote wawili, Lowassa na Magufuli, wamewahi kuwa Wabunge na Mawaziri kwa nyakati tofautitofauti tena kutokea chama kimoja:
• Nani alikuwa kiongozi mzuri jimboni?
• Nani alikuwa kiongozi mzuri wizarani?
• Nani ni mwadilifu na mzalendo zaidi kwa nchi yake?

CC brazaj
Kwa vigezo vyote, Lowasa was much better kuliko Magufuli. Hata majimboni kwao, huwezi kulinganisha alichokuwa amefanya Lowasa jimboni kwake na alichokuwa amefanya Magufuli akiwa mbunge huko Chato.

Magufuli alifaa kufanya kazi kama supervisor. Angalia alivyokuwa Waziri wa Kikwete alivyokuwa anasimamia miradi ya barabara. Akiwa Waziri, wakati wa Kikwete, zilijrngwa 12,000km za barabara za lami. Lakini alipokuwa Rais, zilijengwa 2,800 tu za barabara za lami. Magufuli alifaa kwa kazi za kutumwa lakini siyo kupanga.
 
Askofu mstaafu wa KKKT Dayosisi ya Iringa Dr Mdegela amesema maaskofu wasifikiri kwamba Vijana wa leo hawajitambui kama wale wa zamani.

Mdegeka alikuwa anaongelea mgogoro wa Dayosisi ya Konde na kusema KKKT wamebobea kwa kuvunja Katiba zai wenyewe na hawana mifumo yiyote ya kushughulikia migigoro pindi inapojitokeza.

Amesema hata vyama vya siasa vina migogoro ya kikatiba ndio maana Chadema hawajui wabunge wao wa viti maalumu wameingiaje bungeni na CCM nako haieleweki aliyeshika namba 6 kura ya maoni kafikaje bungeni.

Kadhalika Mdegela amesema yeye mwaka 1995 alimchagua Mrema kwenye uchaguzi mkuu na baadae aliitwa na Mkapa na kupigwa mkwara.
Hata hivyo 2015 alimchagua Edward Lowassa.

Askofu Mdegela amesema hayati Magufuli amefanya kazi kubwa lakini mzee Lowassa angefanya kazi kubwa zaidi.

Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Ina maana 2020 hakupiga kura?
 
Kwa vigezo vyote, Lowasa was much better kuliko Magufuli. Hata majimboni kwao, huwezi kulinganisha alichokuwa amefanya Lowasa jimboni kwake na alichokuwa amefanya Magufuli akiwa mbunge huko Chato.

Magufuli alifaa kufanya kazi kama supervisor. Angalia alivyokuwa Waziri wa Kikwete alivyokuwa anasimamia miradi ya barabara. Akiwa Waziri, wakati wa Kikwete, zilijrngwa 12,000km za barabara za lami. Lakini alipokuwa Rais, zilijengwa 2,800 tu za barabara za lami. Magufuli alifaa kwa kazi za kutumwa lakini siyo kupanga.
Magufuli amewahi kuwa Naibu Waziri na Waziri wa:
• Ujenzi
• Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
• Maendeleo ya Mifugo na Samaki

Lowassa amewahi kuwa Naibu na Waziri wa:
• Mazingira na Mapambano dhidi ya Umasikini
• Haki na Mambo ya Bunge
• Maji na Mifugo

Sasa fanya a comparative analysis ya mambo waliyoyafanya kila mmoja kwenye wizara zake... Achana na hizo chuki unazoziongelea.

Hatuwezi kuwalinganisha kwa Uwaziri Mkuu wakati mmoja hajawahi kuwa Waziri Mkuu ama kuwalinganisha kwa Urais wakati mmoja hajawahi kuwa Rais.

Tuwatendee haki mkuu.
 
Magufuli amewahi kuwa Naibu Waziri na Waziri wa:
• Ujenzi
• Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
• Maendeleo ya Mifugo na Samaki

Lowassa amewahi kuwa Naibu na Waziri wa:
• Mazingira na Mapambano dhidi ya Umasikini
• Haki na Mambo ya Bunge
• Maji na Mifugo

Sasa fanya a comparative analysis ya mambo waliyoyafanya kila mmoja kwenye wizara zake... Achana na hizo chuki unazoziongelea.

Hatuwezi kuwalinganisha kwa Uwaziri Mkuu wakati mmoja hajawahi kuwa Waziri Mkuu ama kuwalinganisha kwa Urais wakati mmoja hajawahi kuwa Rais.

Tuwatendee haki mkuu.
Umee!eweka vizuri!
 
Back
Top Bottom