Askofu Mdegela: 1995 nilimchagua Mrema, 2015 nilimchagua Lowassa. Magufuli alifanya kazi kubwa lakini Lowassa angefanya kubwa zaidi!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,961
141,957
Askofu mstaafu wa KKKT Dayosisi ya Iringa Dr Mdegela amesema maaskofu wasifikiri kwamba Vijana wa leo hawajitambui kama wale wa zamani.

Mdegeka alikuwa anaongelea mgogoro wa Dayosisi ya Konde na kusema KKKT wamebobea kwa kuvunja Katiba zai wenyewe na hawana mifumo yiyote ya kushughulikia migigoro pindi inapojitokeza.

Amesema hata vyama vya siasa vina migogoro ya kikatiba ndio maana Chadema hawajui wabunge wao wa viti maalumu wameingiaje bungeni na CCM nako haieleweki aliyeshika namba 6 kura ya maoni kafikaje bungeni.

Kadhalika Mdegela amesema yeye mwaka 1995 alimchagua Mrema kwenye uchaguzi mkuu na baadae aliitwa na Mkapa na kupigwa mkwara.
Hata hivyo 2015 alimchagua Edward Lowassa.

Askofu Mdegela amesema hayati Magufuli amefanya kazi kubwa lakini mzee Lowassa angefanya kazi kubwa zaidi.

Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
 
Bahati nzuri wote wawili, Lowassa na Magufuli, wamewahi kuwa Wabunge na Mawaziri kwa nyakati tofautitofauti tena kutokea chama kimoja:
• Nani alikuwa kiongozi mzuri jimboni?
• Nani alikuwa kiongozi mzuri wizarani?
• Nani ni mwadilifu na mzalendo zaidi kwa nchi yake?

CC brazaj
 
Bahati nzuri wote wawili, Lowassa na Magufuli, wamewahi kuwa Wabunge na Mawaziri kwa nyakati tofautitofauti tena kutokea chama kimoja:
• Nani alikuwa kiongozi mzuri jimboni?
• Nani alikuwa kiongozi mzuri wizarani?
• Nani ni mwadilifu na mzalendo zaidi kwa nchi yake?

CC brazaj
Ila mmoja alijinadi kwa kipaumbele cha Elimu! Elimu! Elimu!

Mwingine kipaumbele chake ilikuwa ni kupiga push ups, ukanda na ukabila, wengine ni kulimia meno.
 
Bahati nzuri wote wawili, Lowassa na Magufuli, wamewahi kuwa Wabunge na Mawaziri kwa nyakati tofautitofauti tena kutokea chama kimoja:
• Nani alikuwa kiongozi mzuri jimboni?
• Nani alikuwa kiongozi mzuri wizarani?
• Nani ni mwadilifu na mzalendo zaidi kwa nchi yake?

CC brazaj
Magufuli aliingia bungeni na uwaziri wakati wa mfumo wa vyama vingi!
 
Ila mmoja alijinadi kwa kipaumbele cha Elimu! Elimu! Elimu! Mwingine kipaumbele chake ilikuwa ni kupiga push ups, ukanda na ukabila, wengine ni kulimia meno.
Lowassa hajawahi kuwa Rais, Magufuli hakuwahi kuwa Waziri mkuu; lakini wote wamewahi kuwa wabunge na mawaziri.

Hebu tuwalinganishe huko ili tuweze kuwa fair - nani alifanya kazi yake, kama mbunge na waziri, vizuri zaidi ya mwezie?
 
Lowassa hajawahi kuwa Rais, Magufuli hakuwahi kuwa Waziri mkuu; lakini wote wamewahi kuwa wabunge na mawaziri. Hebu tuwalinganishe huko ili tuweze kuwa fair - nani alifanya kazi yake, kama mbunge na waziri, vizuri zaidi ya mwezie?
Utapoteza muda, hangaikia familia yako. Hayo hata ukiyajua hayakusaidii kitu
 
Lowassa hajawahi kuwa Rais, Magufuli hakuwahi kuwa Waziri mkuu; lakini wote wamewahi kuwa wabunge na mawaziri. Hebu tuwalinganishe huko ili tuweze kuwa fair - nani alifanya kazi yake, kama mbunge na waziri, vizuri zaidi ya mwezie?
Nikisemaa lowasaa akiwa waziri na mbuge kafanya mengi ntakuwa nakoseaa mkuuu.japo na magufuli naye jafanya mengi kabla ya uraic
 
Askofu mstaafu wa KKKT Dayosisi ya Iringa Dr Mdegela amesema maaskofu wasifikiri kwamba Vijana wa leo hawajitambui kama wale wa zamani.

Mdegeka alikuwa anaongelea mgogoro wa Dayosisi ya Konde na kusema KKKT wamebobea kwa kuvunja Katiba zai wenyewe na hawana mifumo yiyote ya kushughulikia migigoro pindi inapojitokeza.

Amesema hata vyama vya siasa vina migogoro ya kikatiba ndio maana Chadema hawajui wabunge wao wa viti maalumu wameingiaje bungeni na CCM nako haieleweki aliyeshika namba 6 kura ya maoni kafikaje bungeni.

Kadhalika Mdegela amesema yeye mwaka 1995 alimchagua Mrema kwenye uchaguzi mkuu na baadae aliitwa na Mkapa na kupigwa mkwara.
Hata hivyo 2015 alimchagua Edward Lowassa.

Askofu Mdegela amesema hayati Magufuli amefanya kazi kubwa lakini mzee Lowassa angefanya kazi kubwa zaidi.

Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Zamani nilidhani Maaskofu wote wana Akili Kubwa ( very Bright ) kumbe yawezekana nilikosea tu na kwamba kumbe hata Wasiokuwa na Akili nao wako huko.

Ni Kweli kabisa Lowassa ( ambaye hata Baba wa Taifa tu Hayati Mwalimu Nyerere ) hamkubali na kuhoji mno Utajiri wake wa Mashaka na Makandokando yake leo hii angekuwa Rais Wetu Tanzania ingekuwa mbali kwani ingekuwa tayari imeshauzwa kwa Wanyonyaji ( Mataifa Makubwa ) huku Bahari yetu ya Hindi ikipewa nchi moja hivi ivue Samaki na ichimbe Mafuta kwa miaka 100 ijayo.

Hayati Rais Dkt. Magufuli ameiheshimisha sana Tanzania, katufanya Watanzania tujitambue, tujue thamani za Rasilimali zetu, tuamke, tujitume, tuchape Kazi, tuwe Wabunifu, tisinyanyasane wala Kuoneana na tuchukie Rushwa ( Ufisadi ) ambao ulikuwa umeshazoeleka nchini Tanzania kuanzia mwaka 2005 ambapo Muasisi Mkuu wa Ufisadi aliposhika Usukani Kikatiba.

Kwa baadhi ya Maaskofu wengine Kumchukia Hayati Rais Dkt. Magufuli ilikuwa ni halali yao kwani walishazoeshwa Taasisi zao Kutolipa Kodi kwa Mizigo yao kutoka Ulaya huku wengine pamoja na Uaskofu wao ila Taasisi zao za Kidini zilikuwa na Kashfa za Kusafirisha na hata Kuingiza Dawa za Kulevya nchini ambazo baadae ziliwaathiri hata hao Waumini wao ambao huwa Wanawahubiria kila Uchao Madhabahuni Kanisani Kwao.

Hayati Rais Magufuli ninakukumbuka!!!!
 
Askofu mstaafu wa KKKT Dayosisi ya Iringa Dr Mdegela amesema maaskofu wasifikiri kwamba Vijana wa leo hawajitambui kama wale wa zamani.

Mdegeka alikuwa anaongelea mgogoro wa Dayosisi ya Konde na kusema KKKT wamebobea kwa kuvunja Katiba zai wenyewe na hawana mifumo yiyote ya kushughulikia migigoro pindi inapojitokeza.

Amesema hata vyama vya siasa vina migogoro ya kikatiba ndio maana Chadema hawajui wabunge wao wa viti maalumu wameingiaje bungeni na CCM nako haieleweki aliyeshika namba 6 kura ya maoni kafikaje bungeni.

Kadhalika Mdegela amesema yeye mwaka 1995 alimchagua Mrema kwenye uchaguzi mkuu na baadae aliitwa na Mkapa na kupigwa mkwara.
Hata hivyo 2015 alimchagua Edward Lowassa.

Askofu Mdegela amesema hayati Magufuli amefanya kazi kubwa lakini mzee Lowassa angefanya kazi kubwa zaidi.

Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Huyu nae tunamkumbuka kwa mengi tu akae kimya
 
Zamani nilidhani Maaskofu wote wana Akili Kubwa ( very Bright ) kumbe yawezekana nilikosea tu na kwamba kumbe hata Wasiokuwa na Akili nao wako huko.

Ni Kweli kabisa Lowassa ( ambaye hata Baba wa Taifa tu Hayati Mwalimu Nyerere ) hamkubali na kuhoji mno Utajiri wake wa Mashaka na Makandokando yake leo hii angekuwa Rais Wetu Tanzania ingekuwa mbali kwani ingekuwa tayari imeshauzwa kwa Wanyonyaji ( Mataifa Makubwa ) huku Bahari yetu ya Hindi ikipewa nchi moja hivi ivue Samaki na ichimbe Mafuta kwa miaka 100 ijayo.

Hayati Rais Dkt. Magufuli ameiheshimisha sana Tanzania, katufanya Watanzania tujitambue, tujue thamani za Rasilimali zetu, tuamke, tujitume, tuchape Kazi, tuwe Wabunifu, tisinyanyasane wala Kuoneana na tuchukie Rushwa ( Ufisadi ) ambao ulikuwa umeshazoeleka nchini Tanzania kuanzia mwaka 2005 ambapo Muasisi Mkuu wa Ufisadi aliposhika Usukani Kikatiba.

Kwa baadhi ya Maaskofu wengine Kumchukia Hayati Rais Dkt. Magufuli ilikuwa ni halali yao kwani walishazoeshwa Taasisi zao Kutolipa Kodi kwa Mizigo yao kutoka Ulaya huku wengine pamoja na Uaskofu wao ila Taasisi zao za Kidini zilikuwa na Kashfa za Kusafirisha na hata Kuingiza Dawa za Kulevya nchini ambazo baadae ziliwaathiri hata hao Waumini wao ambao huwa Wanawahubiria kila Uchao Madhabahuni Kanisani Kwao.

Hayati Rais Magufuli ninakukumbuka!!!!
Nimekuelewa mkuu!
 
Back
Top Bottom