johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,965
- 141,970
Hayo yamesemwa na askofu wa Dayosisi Mashariki na Pwani wa KKKT Dr Alex Malasusa
Askofu Malasusa amesema inapendeza kuona askari polisi wengi wamemfuata Yesu Kristo kama Bwana na mwokozi wa maisha yao
Askofu alikuwa Ibadani katika kanisa la Goba
Source Upendo tv
Askofu Malasusa amesema inapendeza kuona askari polisi wengi wamemfuata Yesu Kristo kama Bwana na mwokozi wa maisha yao
Askofu alikuwa Ibadani katika kanisa la Goba
Source Upendo tv