Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,340
- 51,900
Kweli chuki zimekithiri ndomana hata kuuana nje nje skuiz
Unajua zamani ndio kulikuwa na chuki kuliko sasa?
Kweli chuki zimekithiri ndomana hata kuuana nje nje skuiz
Nature,we uoni hata ukipakana nao mpaka ni shida hata uweke biconiKumbe hili ni tatizo mtambuka?
Nilidhani ni incidentally tu, kumbe liko kwa wote!
Zamani ya lini?Unajua zamani ndio kulikuwa na chuki kuliko sasa?
Zamani ya lini?
Muhaya Mmoja kauwa Watu 7 kisa kaibiwa kuku 1
Miaka ya 90 Labda kama ulikuwa mchokozi ila Upendo ulishamiriMiaka tuu ya 90 hapa mambo yalikuwa sio poa
Mm sijawahi ona muhaya mwemaKumbe hili ni tatizo mtambuka?
Nilidhani ni incidentally tu, kumbe liko kwa wote!
Kama ulikuwepo nafsini kwangu, huyu baba askofu kama anatumia mifano mingi ya kidunia na hana maono ya rohoni!!??Ametumia vigezo gani kusema hizi porojo??
Mm sijawahi ona muhaya mwema
Nikweli Baba Askofu Kristo utuhurumie Kuna chuki sana this time yaani 😭🤐🥺😭🤐Baba askofu Dr Malasusa amesema Christmas hii Yesu Kristo atuhurumie Chuki ipungue katika familia zetu za kindoa, kisiasa, kiofisi, kimichezo nk
Source: Upendo TV
Merry Christmas 😀
Nina marafik kibao wahaya ila huwa wana karoho ka wivu hawapendi uwazidiAisee!
Wamekufaya nini tena? Wote kabisa??
Sasa ukishakuwa na fikra utakuwaje masikini.
Maana umasikini ni matokeo ya firka na sio mazingira
Sasa mkeo unampapasa tu kwanini asibanduluwe?Amerudi.madarakani ili aendelee kutubandulia wake zetu?
Chuki haiwezi kuisha kama ajira wanajazwa wazanzibar pekee sisi tupo mtaaniBaba askofu Dr Malasusa amesema Christmas hii Yesu Kristo atuhurumie Chuki ipungue katika familia zetu za kindoa, kisiasa, kiofisi, kimichezo nk
Source: Upendo TV
Merry Christmas 😀
Watu wanasema ukweli, mfano ajira kujaa wazanzibar na wakati Tanganyika vijana wapo kitaa hii ina maana gani? watu lazima wasemeKwa sasa dunia inaenda sehemu Sahihi.
Chuki inazidi kupungua. Ukweli unakuwa waziwazi.
Watu wakishauzoea ukweli chuki haina nafasi tena.
Vipi jamaa wa Ijumaa?Hasa usiombe boss awe muhaya.Hovyo sana hili kabila akiwa boss sijawahi ONA boss mhaya akawa mzuri ni vilio kwa wafanyakazi.
Too much selfish na kusujudiwa.
Waislam ni Waaminifu by Dr KimaroChuki haiwezi kuisha kama ajira wanajazwa wazanzibar pekee sisi tupo mtaani
Ukweli ni kuwa chuki imeletwa na mamaUkweli ni kwamba chuki duniani kwa sasa imepungua sana, mwambie Askofu wako ajielimishe kidogo katika elimu dunia kwa kusoma "The Better Angels of Our Nature".
Aache kutisha watu