kbm
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 5,222
- 1,667
Askofu Msaidizi Jimbo Katoliki la Bukoba mkoani Kagera, Dk. Methodius Kilaini, ameishauri Serikali ifanye kampeni ya kuwalazimisha wakazi wa mkoa huo kulima mazao mchanganyiko kukabiliana na tatizo la utapiamlo kwa watoto.
Pia aliitaka Serikali kuweka sheria kuanzia ngazi ya vijiji itakayombana kila mwananchi kuwa na shamba lenye mazao mchanganyiko tofauti na utamaduni uliozoeleka wa kutegemea kilimo cha migomba peke yake......
"wanaume wa Mkoa wa Kagera wamekuwa wakitumia muda mwingi kunywa pombe....., na kuwaachia kazi ya kilimo wanawake...."
Chanzo: MTANZANIA
Pia aliitaka Serikali kuweka sheria kuanzia ngazi ya vijiji itakayombana kila mwananchi kuwa na shamba lenye mazao mchanganyiko tofauti na utamaduni uliozoeleka wa kutegemea kilimo cha migomba peke yake......
"wanaume wa Mkoa wa Kagera wamekuwa wakitumia muda mwingi kunywa pombe....., na kuwaachia kazi ya kilimo wanawake...."
Chanzo: MTANZANIA