Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,797
- 104,728
Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.
Biblia gani hizo wanasoma?
Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Acha kutetea uovu kwa kuandika upuuzi.