Askofu Ikongo: Walioniteka, kunivalisha kitambaa cha sumu nawafahamu

Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.

Biblia gani hizo wanasoma?

Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.

Acha kutetea uovu kwa kuandika upuuzi.
 
Utawala wa kishetani ndio huu. Mkuu akisema, neno hugeuka kuwa sheria.
Alisema mtaishi kama
Mnakurupuka kuilaumu serikali wakati ni Mmiliki wa hotel na kampuni yake ya ulinzi anaitwa Minja na amesema huyu jamaa ndio anatembeza fweza kwa askari njaa na wanaharibu ametaja kwa kudokoa nyaraka muhimu.
Amemtaja mkuu wa kituo cha polisi majengo.

Pia ametaja na uongozi wa polisi mkoani kilimanjaro.
Ikumbukwe huyu askofu aligombea au alitia nia ubunge moshi mjini kupitia CCM.

Mfanye tafiti au uisome habari vizuri kabla hujaleta matatizo yako binafsi na kuilaumu serikali kila unapokwama ukizani ikibadilika na maisha yako yatabadilika ukweli ni hapana, wewe utatoka hapo ulipo kwa jitihada zako binafsi na sio wanasiasa.
 
Basi unasoma halafu huelewi. Ungekuwa unaelewa ungeelewa kwa nini Yeremia alifungwa, nani alihusika kumchagua Saul na kumtengua, nani alimteua Daud... Ungefahamu Ugomvi wa Yesu na Utawala wa Kirumi, kwa nini Yohana mbatizaji alikatwa kichwa. Yapo mengi unafahamu Yohana Mbatizaji alikemea nini?

Siasa ipo sana katika Biblia labda kama huelewi. unamfaham Esther alifanya nini pale Harmani alipotaka kuwatowesha watu wake?

Wewe hufahamu Siasa ndo maana unaona kama hakuna Siasa. Biblia ina Siasa sana na ina watumishi wengi ambao wamehusika na siasa.

Nabii Isaya alienda kumwambia Sauli mwanasiasa kuwa Mungu amemkataa.. hiyo haikuwa Siasa?

Hao wanasiasa kwa nini wanaapishwa na viongozi wa Dini au wanatumia Biblia na Quran kuapa? Hiyo siyo kuchanganya Dini na Siasa?
Mungu akubariki sana mkuu Chizi Maarifa. Kongole
 
Hii siyo vitiligo kweli? Google: Vitiligo. Umewesha shika ndugu zako uchawi, kumbe ugonjwa wa kawaida.
 
Kama umeanzisha Kanisa lako ungeatafuta Biblia yako ingekufaa sana. Aliyekwambia visa vya Watu wa Mungu kukemea watawala viliishia Agano la Kale ni nani? Kumbe akili zako na za huyo Demu zinafanana? Mitume wote wa Yesu waliouawa waliuliwa na Waisrael? Yesu alipozaliwa na kisha kufichwa Misri alikuwa anamkimbia Muisrael? Hujui kitu kaa kimya usipotoshe Biblia huijui.

Umeongea lugha ya marusi na kashfa kuonyesha wewe ni wakala wa shetani? Kumtaja Kristo sio sababu ya kuwa mwana wa Mungu. Ila nitaacha maandiko yakuaibishe ili Kristo atukuzwe.

1. Ungejuwa na elimu ya Roho basi ungeelewa kuwa dola la waisraeli zamani za agano la kale lilikuwa chini ya Mungu mwenyewe kama mfalme wao, ndio kisa cha kuwatoa Misri ili wamtumikie. Kwa hiyo hata manabii kukemea watawala ni kwa sababu walikuwa wawakilishi wake. Hiyo ilikuwa Theocratic government.

2. Hai mitume waliouawa no wapi walikemea seriiali? Fungua maandiko tuone. Unajiita mkristo wakati hujui hata huyo unayemtaja alikuja kufanya nini duniani. Tena umekuwa kondoo kipofu usiyejua hata Kristo aliagiza nini.

3. Unajua sababu ya kukimbilia Misri? Alimkemea nani? Alikemea wanasiass ndio akakimbia?
4. Nakusihi ujibidiishe kusoma neno ili uwe na maarifa ukome kuchanganya siasa na imani
 
Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.

Biblia gani hizo wanasoma?

Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Waliomfanyia ni mdai wake wanakesi mahakamani ya madai,jamaa anaroho mbaya sana unadaiwa hela unataka kumtoa mtu roho
 
Askofu hata kama alikua anakula mke wa mtu atasingizia siasa tu
Kuna kiongozi kalewa chakari kavinja mguu,wapambe wakasingizia siasa,polisi wametoa taarifa ya uchunguzi wa awali,mpaka leo hatujawasikia tena wapambe wala aliejeruhiwa
Tusipende kusema uongo,tunamuudhi sana Mungu
Policeccm hawana tofauti na wacheza vigodoro
tapatalk_1592515315073.jpeg
 
Basi unasoma halafu huelewi. Ungekuwa unaelewa ungeelewa kwa nini Yeremia alifungwa, nani alihusika kumchagua Saul na kumtengua, nani alimteua Daud... Ungefahamu Ugomvi wa Yesu na Utawala wa Kirumi, kwa nini Yohana mbatizaji alikatwa kichwa. Yapo mengi unafahamu Yohana Mbatizaji alikemea nini?

Siasa ipo sana katika Biblia labda kama huelewi. unamfaham Esther alifanya nini pale Harmani alipotaka kuwatowesha watu wake?

Wewe hufahamu Siasa ndo maana unaona kama hakuna Siasa. Biblia ina Siasa sana na ina watumishi wengi ambao wamehusika na siasa.

Nabii Isaya alienda kumwambia Sauli mwanasiasa kuwa Mungu amemkataa.. hiyo haikuwa Siasa?

Hao wanasiasa kwa nini wanaapishwa na viongozi wa Dini au wanatumia Biblia na Quran kuapa? Hiyo siyo kuchanganya Dini na Siasa?
asante umenifungua na me nimepata rungu la kutetea siasa na din
 
Askofu hata kama alikua anakula mke wa mtu atasingizia siasa tu
Kuna kiongozi kalewa chakari kavinja mguu,wapambe wakasingizia siasa,polisi wametoa taarifa ya uchunguzi wa awali,mpaka leo hatujawasikia tena wapambe wala aliejeruhiwa
Tusipende kusema uongo,tunamuudhi sana Mungu
sawa mbona mtu akikosoa serikali mnasema katumwa na mabeberu wakat unakuta mtu hata zizi hana
 
Kifupi Eliya unajua kilichomkuta mpaka aliamua kuacha kazi ya unabii kwa jinsi alivyowindwa na mke wa mfalme jezeebel kuuawa,Akasema Mungu basi sitaki JEZEEBELI ANAWINDA KUNIUA SITAKI TENA HII KAZI

Yohana mbatizaji sawa alimkemea herode lakini kwa gharama ya kichwa chake alikatwa shingo!!!!!

Kifupi kiongozi wa dini toka zamani ruksa kuchanganya dini na siasa NA KUKEMEA viongozi wa kisiasa lakini kwa gharama ya kichwa chake

Kiongozi wa dini kuacha madhabahu na kwenda kukemea wanasiasa walioko madarakani ni ya kwake ili mradi awe tayari kichwa chake kukiweka machinjioni

Tumeona hadi uganda tu hapo ASKOFU WA ANGLICAN Janan LUWUM aliacha madhabahu akaenda kukemea mwanasiasa IDD AMIN hakuchukua round akauawa

Ushauri wangu dini na siasa ni vizuri viwe mbali kila mtu ahangaikie eneo lake lakini sikuzuii ili mradi uwe tayari kwa lolote kama wewe ni kiongozi wa dini
je viongozi wa dini kuwaruhusu wanasiasa kutumia madhabahu kama majukwaa ya siasa ni sahihi au napo ndo viongozi wa siasa wanaingilia dini
 
Sasa kama Period ni Heshima kwa Mwanamke kuna tatizo gani pale juu kwa Jamaa kutoa heshima kwa Kumwambia huyo Mwanamke amechangia Akiwa Period ?
Kama akili zako zinakutuma kuwa amesema hivyo kwa heshima sina namna ya kufafanua zaidi.
 
Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.

Biblia gani hizo wanasoma?

Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Unamaanisha nini? kwanini Siasa ninini
 
Basi unasoma halafu huelewi. Ungekuwa unaelewa ungeelewa kwa nini Yeremia alifungwa, nani alihusika kumchagua Saul na kumtengua, nani alimteua Daud... Ungefahamu Ugomvi wa Yesu na Utawala wa Kirumi, kwa nini Yohana mbatizaji alikatwa kichwa. Yapo mengi unafahamu Yohana Mbatizaji alikemea nini?

Siasa ipo sana katika Biblia labda kama huelewi. unamfaham Esther alifanya nini pale Harmani alipotaka kuwatowesha watu wake?

Wewe hufahamu Siasa ndo maana unaona kama hakuna Siasa. Biblia ina Siasa sana na ina watumishi wengi ambao wamehusika na siasa.

Nabii Isaya alienda kumwambia Sauli mwanasiasa kuwa Mungu amemkataa.. hiyo haikuwa Siasa?

Hao wanasiasa kwa nini wanaapishwa na viongozi wa Dini au wanatumia Biblia na Quran kuapa? Hiyo siyo kuchanganya Dini na Siasa?
Msamehe bure huyo ndugu maana wanamaini ili usiwe unachanganya Siasa uunge juhudi
 
Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.

Biblia gani hizo wanasoma?

Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Hivi aliyekuwa anawachagulia/ kuwateuliwa Wana wa Israel mfalume ni Nani? Na je cheo cha ufalme kilikuwa Cha kidini au kisiasa
 
Nafikiri tunapojadili issue ya Askofu tuijadili bila kuingiza hisia. Tuvae utu na ubinadamu. Tukio la kutekwa na kuvalishwa taulo lenye kemikali za sumu ni la Mei 2018 na aliwatambua wawili kati ya watu tisa kuwa ni miongoni mwa wale aliokutana nao baada ya OCS kituo cha Majengo kutoa namba zake kwa hao watekaji. Kuna ushahidi mzuri kama huo? Ushahidi huo unaunganika na ule wa vijana wa bodaboda waliomuokota na kumpeleka hospitali. Hilo la kwanza. Lakini la pili, wale wawili aliowatambua ndio ambao alikutanishwa nao na OCS Majengo ambaye ndiye aliyetoa namba zake, ili wazungumze nje ya utaratibu wa kipolisi kuhusu shauri lake la kuibiwa vitu na fedha vyenye thamani ya over 8 milioni alipoegesha gari lake katika grocery ya Kwa Minja. Ni watu hao hao ambao wawili ndio walikuja kumteka. Sasa tujiulize, tangu 2018 alipoandikisha maelezo na kuwataja waliihusika, polisi Moshi walichukua hatua gani? Leo unaitwa ukatoe maelezo upya kwa polisi wale wale.
 
je viongozi wa dini kuwaruhusu wanasiasa kutumia madhabahu kama majukwaa ya siasa ni sahihi au napo ndo viongozi wa siasa wanaingilia dini
kanisani mtu akikaribisha ni hiari ya mkaribishaji hata waislamu hukaribishwa kanisani
 
Back
Top Bottom